Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
Hofstede.. unajua hilo wala hawakuwaambia wananchi mapema.. mimi nilidhani ni mfumo mpya wa kudumu kumbe ni wamuda tu.
Anateleza kidogo hapa na kusema kuwa Nyerere alizungumzia watu wanaobagua wenzao kwa misingi ya dini/ukabila/rangi etc ni wa kuwaogopa kama ukoma.............ukweli ni kuwa Nyerere alizungumzia watu wanaotumia pesa kukimbilia Ikulu ndio wa kuogopa kama ukoma..!
Sijui ni tatizo la speechwriter au mkuu aliongeza mwenyewe?
Anateleza kidogo hapa na kusema kuwa Nyerere alizungumzia watu wanaobagua wenzao kwa misingi ya dini/ukabila/rangi etc ni wa kuwaogopa kama ukoma.............ukweli ni kuwa Nyerere alizungumzia watu wanaotumia pesa kukimbilia Ikulu ndio wa kuogopa kama ukoma..!
Sijui ni tatizo la speechwriter au mkuu aliongeza mwenyewe?
Sielewi ni kwanini Kikwete ameona kuwa anawiwa maelezo na wa Kenya kuhusu barabara inayopita Serengeti iliyoko Tanzania?
Sielewi ni kwanini Kikwete ameona kuwa anawiwa maelezo na wa Kenya kuhusu barabara inayopita Serengeti iliyoko Tanzania?
Barabara hiyo italeta usumbufu mkubwa kwa wanyama ambao huwa wanaenda na kurudi Kenya.Sielewi ni kwanini Kikwete ameona kuwa anawiwa maelezo na wa Kenya kuhusu barabara inayopita Serengeti iliyoko Tanzania?
Mwanakijiji nakusikia unaguna "hah!" baada ya rais kusema "mfumo wa serikali ya umoja Zanzibar siyo wa milele" unajua hata mimi nimeshangaa yaani unapoitisha referendum si maana ya kubadili katiba? na anaposema kila baada ya miaka mitano watakuwa wanauangalia huu si uhuni?, yaani kila miaka mitano wazanzibar wawe wanapiga kura za maoni?. Maana kama jambo limeingizwa kwa kura ya maoni basi halilatoka pasi na kura hiyo hiyo kupigwa tena. Kwa mtazamo wangu hakukuwa na haja ya hii kura kama mtazamo ni huu wa kureview every five years.
Mwanakijiji nakusikia unaguna "hah!" baada ya rais kusema "mfumo wa serikali ya umoja Zanzibar siyo wa milele" unajua hata mimi nimeshangaa yaani unapoitisha referendum si maana ya kubadili katiba? na anaposema kila baada ya miaka mitano watakuwa wanauangalia huu si uhuni?, yaani kila miaka mitano wazanzibar wawe wanapiga kura za maoni?. Maana kama jambo limeingizwa kwa kura ya maoni basi halilatoka pasi na kura hiyo hiyo kupigwa tena. Kwa mtazamo wangu hakukuwa na haja ya hii kura kama mtazamo ni huu wa kureview every five years.