Kikwete ahudhuria uzinduzi wa kaburi la kifahari la mke wa Bingu Mutharika

Huyu ndugu bwana!sasa yeye anaona ni muhimu sana kuhudhuria uzinduzi wa kaburi badala ya kutulia nyumbani na kushughulikia matatizo yetu.Yaani inavyoonekana huyu bwana hana nia nzuri na nchi hii!
Mkuu ndio unalitambua hilo leo? JK yupo kwa maslahi binafsi, familia yake na jamaa zake akina Lowassa na Rostam. Sasa hivi amekaa kimya kuhusu Dowans kwasababu hizo Tsh 185 billions yeye na akina Lowassa, Rostam na Mkono ndio walipwaji. Hana hata chembe ya huruma na umaskini wetu. Kumbuka pia hiki ndio kipindi chake cha mwisho kwahiyo ndio muda wa kujilimbikizia mali.
 
huyo ndio mkwere aka kristofa columbus the traveller. He waz born to travell. Ana enjoy sana maisha ndani ya jet yake a

mbayo mwandosya alisema bora wananchi wale majani lakini ndege ya rais ininunuliwe. Kula bata mkwere safiri ukitaka hadi mwezini, wanakupenda sana watanzania. Mi simo nisajawahi mchagua hata siku moja.

Naona bruce lee umechemka kdogo,huyu ***** wenu huwezimfananisha na kristofa kolumbus,maana huyu ni
mzururaji tu wa kawaida.Na si Mwandosya aliyesema hivyo ni basil
pesambili mramba.Na ninyi mods kwani neno ***** lina tatizo gani?
 
Balozi wa Malawi ni Patrick Tsere... Kaka najua wewe ni member hapa... Hebu tujuze... Halafu kwanini wenzetu hela yao ina thamani kubwa kushinda yetu?

Thanks for reminding me! It is indeed Patric Tsere, a good friend of his who had the misfortune of being rejected by the Peoples Power in Karatu in 2005 where our DR(PhD) retained his seat amids huge faul play by the state apparatus.
As they say, the birds of the same feather gather together!!! Need I say more?
 
Naona bruce lee umechemka kdogo,huyu ***** wenu huwezimfananisha na kristofa kolumbus,maana huyu ni
mzururaji tu wa kawaida.Na si Mwandosya aliyesema hivyo ni basil
pesambili mramba.Na ninyi mods kwani neno ***** lina tatizo gani?

Ni kweli Mwandosya hakusema maneno hayo lakini alikuwa mstari wa mbele kuitetea hoja ya ununuzi wa ndege akiwa waziri wa wizara ya usafirishaji, akaifuatilia ndege mpaka marekani kwenda kuikagua kabla haijaja nchini!!
 
Rais wa Malawi, Bingu Mutharika, Ijumaa iliyopita alizindua kaburi la kifahari la aina ya jumba la taj Mahal lililopo India.
Sherehe hizo zilisusiwa na Makamu wa Raisi wa nchi, Speaker, Wakatoliki na wapinzani.
JK na rais Banda wa Zambia ndo tu waliokuwepo.
Swali: Hivi JK hana balozi kule kumtaarifu kuwa hicho si kitu kinachopendwa na wananchi wa kule hivyo si bora kuhudhuria?
Alafu mbona alienda huko na kurudi kimya kimya?
Hili mnalionaje?

Source: Raia Mwema Dec 29- Jan.4 uk 21

Haa kumbe source ni Raia Mwema, gazeti ambalo linajulikana siku kwa jina ' ANDIKA MAOVU YA SERIKALI ILI UPATE UMAARUFU ' . Na vile vile ni gazeti ambalo limenunuliwa na CHADEMA pamoja na Tanzania Daima
 
Haa kumbe source ni Raia Mwema, gazeti ambalo linajulikana siku kwa jina ' ANDIKA MAOVU YA SERIKALI ILI UPATE UMAARUFU ' . Na vile vile ni gazeti ambalo limenunuliwa na CHADEMA pamoja na Tanzania Daima

Mod.. inabidi muuongeze button ya ku unthanks (opposite of thanks), guys like this are really pathetic, and feeble-minded like this call himself great thinker..... No wonder tunaongozwa na watu kama kikwete.... perhaps he is the best among them.
 
Haa kumbe source ni Raia Mwema, gazeti ambalo linajulikana siku kwa jina ' ANDIKA MAOVU YA SERIKALI ILI UPATE UMAARUFU ' . Na vile vile ni gazeti ambalo limenunuliwa na CHADEMA pamoja na Tanzania Daima
Kumbe wanaandika maovu ya serikali? sasa wewe ulitaka maovu yasifichuliwe? ili iweje kwa maslahi ya Taifa kama maovu yanafichwa?
 
duh,kwa nini asingetuma hata mwakilishi tu,hata kumtuma waziri mkuu nayo angemkosea heshima,yani kule angeenda tu hata mkuu wa wilaya kutuwakilisha. shame on him!!! shame on us!!
 
AfricaNews - Malawi: Mutharika defends Mausoleum funds - The AfricaNews articles of Mtheto Lungu

mutharikaetheltomb1.jpg

Duh, Mifisadi ya Malawi inamwaga radhi hivyo?? NO wonder anataka kumkabidhi urais mdogo wake.

Sasa JK amejifunza nini kwenye hiyo safari?? Au na yeye atajenga kitu kama kicho bongo??
 
huyo ndio mkwere aka kristofa columbus the traveller. He waz born to travell. Ana enjoy sana maisha ndani ya jet yake ambayo mwandosya alisema bora wananchi wale majani lakini ndege ya rais ininunuliwe. Kula bata mkwere safiri ukitaka hadi mwezini, wanakupenda sana watanzania. Mi simo nisajawahi mchagua hata siku moja.


si Mwandosya aliyesema bora kula nyasi/majani, ni Basil Mramba
 
mbona kumbukumbu za marehemu sokoine pale Morogoro Wami Sokoine zimeachwa dilapidated for years now..... mbona JK hajaenda pale tangu aingie madarakani
 
Hakuna cha kumshangaa Mkwere kuhusu hii mada! kwani mlisahau siku ile alipowajibu wle wakuu kua hata yeye anashangaa kwanini watanzania ni masikini!
 
duh,kwa nini asingetuma hata mwakilishi tu,hata kumtuma waziri mkuu nayo angemkosea heshima,yani kule angeenda tu hata mkuu wa wilaya kutuwakilisha. shame on him!!! shame on us!!

Mwenzio anajitafutia safari mkuu. Si unajua Europe na America sasa hivi baridi ni kali mno. Sasa anatafuta alternative trips ili akale bata wake nje ya nchi. Bongo joto mno.
 
Kuna wa wamejibandika majina yasiyostahili''' Genius Brain!!! anafikiri ana akili za kitoto sana na hoja za kijinga. si mfuatiliaji wa mambo...asome magazeti vizuri na aelewe wengi wa wananchi wa malawi walisusia hili tukio lakini rais wetu akaenda eti kuona ufunguzi wa kaburi duh! Kaaaaazi kweli kweli!!!!!!!!!!!!!
 
Nyinyi wachangiaji hayo yote mliyoandika ni pumba tupu. Hivi hamjui ukiitwa kwenye hitima ni ustaarabu wetu kwenda. Tatizo lenu ushindi wa JK bado unawauma. Wapuuzi wakubwa nyie !!!!Admisnistrator uluniluiza mbona sichangii? Huo ndiyo mchango wangu
 
Back
Top Bottom