Rais wa Malawi, Bingu Mutharika, Ijumaa iliyopita alizindua kaburi la kifahari la aina ya jumba la taj Mahal lililopo India.
Sherehe hizo zilisusiwa na Makamu wa Raisi wa nchi, Speaker, Wakatoliki na wapinzani.
JK na rais Banda wa Zambia ndo tu waliokuwepo.
Swali: Hivi JK hana balozi kule kumtaarifu kuwa hicho si kitu kinachopendwa na wananchi wa kule hivyo si bora kuhudhuria?
Alafu mbona alienda huko na kurudi kimya kimya?
Hili mnalionaje?
Source: Raia Mwema Dec 29- Jan.4 uk 21
Sherehe hizo zilisusiwa na Makamu wa Raisi wa nchi, Speaker, Wakatoliki na wapinzani.
JK na rais Banda wa Zambia ndo tu waliokuwepo.
Swali: Hivi JK hana balozi kule kumtaarifu kuwa hicho si kitu kinachopendwa na wananchi wa kule hivyo si bora kuhudhuria?
Alafu mbona alienda huko na kurudi kimya kimya?
Hili mnalionaje?
Source: Raia Mwema Dec 29- Jan.4 uk 21