RAIS Jakaya Kikwete sasa anakabiliwa na wimbi zito la kujinasua kutoka kwenye mpango unaosukwa na makada wa chama hicho kumng'oa kwenye nafasi ya mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Makundi yanayotaka kumng'oa yanadai ameshindwa kukiendesha chama, na hali hiyo imeifanya serikali kuwa goigoi.
Habari* zinadai kuwa baadhi ya wanachama wakiongozwa na wajumbe kadhaa wa Halmashauri Kuu (NEC), watokao Kanda ya Ziwa ndio wamekuwa wanaandaa mkakati wa mabadiliko ya kile wanachoita ‘kukinusuru chama.'
Zinaongeza kuwa Rais Kikwete ameshindwa kukiendesha chama hicho na matokeo yake ni kuwa makundi yanayohasimiana yameshamiri na kuharibu taswira ya CCM.
"Kwa hali ilivyo sasa lolote linaweza kutokea, maana watu wamechoshwa na mwenyekiti wetu ambaye amekuwa kinara wa kuchochea siasa za makundi," alisema kada mmoja.
Chanzo kimoja* kilisema* kuwa Rais Mkapa hivi sasa anaonekana kuwa kiongozi imara zaidi ndiyo maana alikabidhiwa jukumu la kuzindua na kufunga kampeni za chama hicho katika Jimbo la Igunga.
HABARI YOTE IPO HAPA << KIKWETE AHOFIA KUNG'OLEWA>>
NAOMBA MNISAIDIE WANA JF:
1.JE INAWEZEKANAJE RAISI ASTAAFU HALAFU ARUDI MADARAKANI TENA?
2.KWA MIAKA NENDA RUDI,NIMEKUWA NIKIONA KUWA RAISI NDIYE MWENYEKETI WA CHAMA,,VIPI MIPANGO HII YA KUMPENDEKEZA MKAPA NA SALM AHMED SALIM? INAWEZEKANA?
Makundi yanayotaka kumng'oa yanadai ameshindwa kukiendesha chama, na hali hiyo imeifanya serikali kuwa goigoi.
Habari* zinadai kuwa baadhi ya wanachama wakiongozwa na wajumbe kadhaa wa Halmashauri Kuu (NEC), watokao Kanda ya Ziwa ndio wamekuwa wanaandaa mkakati wa mabadiliko ya kile wanachoita ‘kukinusuru chama.'
Zinaongeza kuwa Rais Kikwete ameshindwa kukiendesha chama hicho na matokeo yake ni kuwa makundi yanayohasimiana yameshamiri na kuharibu taswira ya CCM.
"Kwa hali ilivyo sasa lolote linaweza kutokea, maana watu wamechoshwa na mwenyekiti wetu ambaye amekuwa kinara wa kuchochea siasa za makundi," alisema kada mmoja.
Chanzo kimoja* kilisema* kuwa Rais Mkapa hivi sasa anaonekana kuwa kiongozi imara zaidi ndiyo maana alikabidhiwa jukumu la kuzindua na kufunga kampeni za chama hicho katika Jimbo la Igunga.
HABARI YOTE IPO HAPA << KIKWETE AHOFIA KUNG'OLEWA>>
NAOMBA MNISAIDIE WANA JF:
1.JE INAWEZEKANAJE RAISI ASTAAFU HALAFU ARUDI MADARAKANI TENA?
2.KWA MIAKA NENDA RUDI,NIMEKUWA NIKIONA KUWA RAISI NDIYE MWENYEKETI WA CHAMA,,VIPI MIPANGO HII YA KUMPENDEKEZA MKAPA NA SALM AHMED SALIM? INAWEZEKANA?