KUNANI PALE TGA
Senior Member
- Feb 6, 2009
- 138
- 7
duh kibunango...hapo umechemsha,yaani lugha yako we mwenyewe imekushinda....kwah kwah kwah.....
Nakubaliana na Maneno yako Susuviri,lakini ni lazima uelewe kuwa Mahusiano ya Nchi na Nchi yanapishana,na pia ukubwa wa Delegation unapishana,Huwezi kulinganisha Ugeni wa Medvedev kuja Washington na ule Wa Kagame pamoja na kwamba wote ni Marais.Tunaweza kuwa Midebwedo lakini pia Tanzania bado ni kiungo Muhimu kati ya US na mataifa mengi ya Afrika.
Hivi sasa Obama ameelekeza Nguvu nyingi katika matatizo ya ndani ya Kiuchumi ya US na masuala ya Middle East na Afghanstan,lakini sio kusema kuwa hapokei wageni,atampokea Waziri Mkuu wa Australia punde atakapotoka Canada kwenye ziara yake ya kwanza Nje.
Na hili suala la kukutana na Watu wa State Department badala ya Rais tusilichukulie kama ni dharau!!Ni kweli kwamba Rais atakwenda US kwenye tarehe itakayopangwa baadaye,pamoja na kuonana na Obama atakutana na wafanyabiashara wamarekani weusi na kutembelea California.
Hebu acha hizo bana na wewe...aaah...hivi nani (Democrats na Republican) Marekani ana muda wa ku mind alichokisema raisi wa ka nchi ka dunia ya tatu kuhusu raisi Bush. Puh-lease....
Eti Kikwete alisema hivi au vile kuhusu raisi Bush....sana sana tunaokumbuka ni sisi Wabongo tulioko huku, tena wale tunaofuatilia ziara zake akija huku....
Wamarekani don't give shit about Kikwete or what Kikwete said....
We umeanza tena! Lakini nimekupa tano for your last sentence: Wamarekani don't give shit about Kikwete or what Kikwete said
Lakini wakihitaji reference basi the last time on record, Jk was busy anamfagilia Bush, umeelewa my dear friend? So forget it, Obama ana personal connection na Raila na ndo atakuwa wa kwanza kumpokea, na si unajua wajaluo walivyokuwa na mshikamano! Kwikwikwiii!
.......Hivi kwanini hizi ziara zingine hamuachii Dr. Shein?
.......Nyani hiyo avatar yako inanikumbusha sana documentary moja ya wale jamaa zangu wa Papua New Guinea........lol
They won't hold that against him. Wewe ulitaka amuue Bush? Huko si kungekuwa kuingilia siasa za ndani za Marekani? Ulitaka Kikwete aseme nini? Kwamba Bush is the worst president ever?
well, kusema katika kipindi cha kampeni katika nchi yao kuwa Bush is the best president (when he polled one of the lowest in history) ni kuingilia siasa zao za ndani! Acha kumtetea BUsh na wewe, huoni Babu yako McCain alivyoku-disappoint, na huyu Bush ndo kabisaaaaa! Lakini JK alichemka na wakati ule alikuwa AU president so it was reported by many agencies nakumbuka. So sorry, record yake haifutiki....
oh here we go again....
and you are right...rekodi ya Bush kwenye kusaidia Afrika haifutiki...na mpaka sasa hakuna raisi yeyote wa Marekani anayemfikia Busha ikija katika kusaidia Afrika....unabisha?
Tatizo, my friend, unapenda ligi na mi leo ligi siwezi. Haya basi umeshinda, eeeh!
Lakini kusema Bush was the best president in the history of the US is ridiculous! Na pundits wote walishangaa, na ingawa walikubali hiyo ya kusaidia Africa lakini kusema ndo maana ni the best is very short sighted.
Duh!!! VDG!!! hatulii ofisini kwake ili kutatua matatizo mbali mbali yanayoikabili nchi yetu likiwemo la kusaini mikataba ya kuchimba dhahabu isiyo na maslahi kwa Watanzania na huu ni mwaka wa nne sasa!!... Obama yuko busy kushughulikia matatizo ya kiuchumi yanayoikabili US hataki wageni wanaokuja na vibakuli labda mpaka 2011!!!!
Susu na Nyani
naamini wote mna walau girl Friends kama sio wake, Kuna wakati mnawaambia wake ama GF you are the most beautiful/gorgeous, sweetest ..... in this world
wakati unafahamu fika kuna wengine wanamzidi. Kwa nini mnafanya hivyo.
Simple reason ni kumuimpress na kumfanya ajisikie mko karibu
same story in Politics and diplomacy.
Tatizo, my friend, unapenda ligi na mi leo ligi siwezi. Haya basi umeshinda, eeeh!
Lakini kusema Bush was the best president in the history of the US is ridiculous! Na pundits wote walishangaa, na ingawa walikubali hiyo ya kusaidia Africa lakini kusema ndo maana ni the best is very short sighted.
duh kibunango...hapo umechemsha,yaani lugha yako we mwenyewe imekushinda....kwah kwah kwah.....
Wakuu wangu Nyani na Susu..nafikiri tusisahau kwamba maraisi wote ni wana siasa. Wengi almost wote wana hulka ya kusema kitu ambacho ni appropriate kwa muda huo na situation hiyo. Sioni ubaya wowote wa Mheshimiwa Kikwete kumsifia Raisi Bush haswa ukizingatia misaada ya fedha Tanzania iliyopata kwa ajili ya malaria na AIDS. Lakini ninaamini leo hii ukimuita Kikwete kwenye "Meet the Press" ukamuuliza kuhusu kauli yake hiyo kama (I need to be careful here maana Kuhani atatokea na kuuliza KAULI GANI?) anaweza kutoa jibu jingine tofauti kabisa.
Bora pakacha kuliko viloba...!Hayo ndiyo yalee MAPAKACHA ya kuleee kwenye mapinduzi daima