Abraham Suleiman
Member
- May 26, 2013
- 58
- 106
Maliasili panamfaa Massawe
Opportunist kama kawaida yake, akimaliza kuwachonganisha anapanda pipa anaenda kusikilizia toka USA. Kazi tunayo
hivi mabadiliko kama haya yamewahi kuleta tija yoyote kwa taifa hili ?
Pwani ni jirani na dar. Wakati mwingine mkuu huenda Pwani kimya kimya 'kupumzika'.
hivi mabadiliko kama haya yamewahi kuleta tija yoyote kwa taifa hili ?
Aiseeeee. Kanal mstaafu Fabian Massawe imekuwaje tena? Au ndio anakwenda ubalozini? To me alikuwa mchapakazi Sanaa.
Majina mengi ni ya akina Athumani, Halima, Said, Hussein....Najiuliza tu kwa nini?? Au kigezo ni utendaji kazi wao? Shaka kubwa!!!
Haya anayofanya ndo maisha bora kwa kila mtanzania?