Kikwete afagia tena ndani ya saa 24, Zamu hii amemng'oa Profesa Yadon Kohi

Kwanza tunataka aanze kuwaondoa Samaki wakubwa kwanza hao dagaa watakimbia wenyewe
 
Sijui budget ya COSTECH- but if they were starved of resources- je angetafuta ufadhili? COTECH have so large mandate kisheria ila hawana pesa!

Kama JK amemwondoa- correspondingly- aongeze pesa za utafiti, naona aibu sana hata mgeni akija Tz akakuta jengo la COSTECH limepigwa rangi ya VODACOM- sidhani kama wanapewa pasa za kutosha hadi kuruhusu hali kama hii!

Sehemu zingine za Utafiti kama UD, MUHAS, NIMR(have world class research environment- I went there recently near Ocean Rd-I thought I was in the US!), have so good infrastructure- sasa kwa nini COSTECH wawe staved hadi VODACOM waje wapige rangi? Nenda hapo Kenya au Rwanda- mazingira yao are far better- yet COSTECH ndo anatakiwa atoe dira kwa hao wote- je itawezekana?

What is the main problem? Is this a Kohi factor- or more than that?

NIMRI pametengenezwa karibuni na USAID money.Kuna program wanaendesha pale.

Huyu Kohi hakuwa serious na amechangia sana demoralization ya junior academicians cum scientists.
One big problem was to propose wide salary gap between juniors and seniors(professors).The idea was to encourage young professionals to work harder to climb the ladder.However, they fixed specific time (of 3 yrs) for one to climb from one level to another once he/she fulfilled the minimum requirements.

Thus,regardless of academic/scientific achievements, one has to wait for 3 yrs in order to climb one step up.
The whole set up discouraged many young scientists and once they acquire reasonable knowledge (masters or phd degree) they quit academic posts and look for better jobs in/outside the country.

In addition, he also made the current assessment for the academic promotion to become unpredictable and very difficult to attain by imposing unrealistic conditions. It is as if the science of up to 1999 was very difficult and upon entering the millenium things completely changed and all of sudden became very easy.Which is not the case anyway, and may be the reverse is true.
 
subirini wiki ijayo... ! especially ile wiki aidha ya Krismasi au mara baada ya mwaka mpya.. labda atafanya kweli. Ila msishangae watu wakianza kujiuzulu wenyewe kabla ya panga kuwafikia. Next week mtu asipojiuzulu..

Come on bro,hizi speculations mbona zimeishakuwa the daily part of JF's life, Kikwete is as soft as a sponge, period!!
 
Come on bro,hizi speculations mbona zimeishakuwa the daily part of JF's life, Kikwete is as soft as a sponge, period!!

Nilikuwa nawaza tu, sikuwa na maana kuwa nahisi atakachofanya Rais.. ila nilichokuwa nawazia kitakuwa nje ya Ofisi ya Rais....
 
...Oh please dear God no!

..hiyo haijasemwa vizuri kiasi kwamba watu wamepata picha tofauti!

..ni hivi,celtel walitoa vijikoti vya usalama[vyenye reflecting material]kwa traffic police,kama vivyotumika kwenye viwanja vya ndege,migodini,wafagia barabara[hasa huko west!],wajenzi na wengine wanaokuwa kwenye mazingira ya kazi zenye hatari ya ajali!. sasa,kama kawaida ya anayetoa msaada,wakaweka nembo yao!

..ni kweli haitoi picha nzuri,inakuwa kama tangazo la biashara!
 
1. Huyu Kohi ni mzima sana kichwani-(daktari wa binadamu, Kanali(Lef. General?) wa jeshi, Profesa, na majuzi tu alipata degree ya sheria) he is a very intelligent person- sijui kwa nini leadership ilimshinda- may be he was starved of resources!

JK sipendi kukupongeza kama watanzania walivyo na uharaka wa kupongeza na kulaumu na kusahau haraka. Imechukua muda Prof Kohi kuondolewa pale COSTECH, ni kweli jamaa yuko smart sana kichwani hili halina ubishi..nimeishafanya naye kazi si moja kwa moja ...kwenye masuala ya kitafiti. Ni mzuri sana kwenye kujenga hoja na kuzitetea, ni msomi haswa. Anashida moja hes a kind of guy anayesimamia sana anachokiamini hata kama yupo kushoto!! very academically arrogant! Anauwezo wa kutumia uwezo wake wa kufikiri kuyumbisha maamuzi ya walio wengi, aliisha fanya hayo akiwa kama counsel member wa Sokoine University na hata Herbert Kariuki University. Kohi pia ana shida kubwa sana na pombe hes alcoholic, wakati mwingine huendesha vikao akiwa amelewa chakari...kama kawaida ya wanajeshi kwa vibinti naye ni mkali haswa. Ufisadi na ubadhilifu anao tu wakutosha!!

Kwenye uongozi ni shida sana ameifanikiwa kuigeuza COSTECH kuwa ni internet sevice provider....COSTECH kwa kifupi ilikuwa haiwezi kabisa kusimamia maendeleo ya kisayansi na technolojia nchini...kuna kipindi jengo lao lilikuwa limepakwa rangi za vodacom!!!!!

Inabidi Dr Rose Kingamkono aibadili ile sura ya COSTECH, kuna baadhi ya wafanyakazi pale inabidi waende na maji...aanze upya na timu mpya. Kila la heri mama Kingamkono imani na wewe tunayo peleka jahazi mbele
 
Nakulilia
Nani amesema mama/dada zetu hawawezi kupenyeza kwenye mfumo dume? 4 of the top 5 directors wa COSTECH walikuwa wanaume. HKwa hiyo uteuzi wa mama Kingamkono ni moja ya ushahidi tosha kwamba wapo wakina mama wakali zaidi kwenye system yetu.

Staff.htm

Yeah, hilo sawa....kuna thread nyingine hapa inahoji kwa nini madirector wote wa TRA hakuna mwanamke na wapo kama 13 hivi kama sijakosea.....sasa naona ni suala la distribution
 
Mugo"The Great";108074 said:
Danganya toto hiyo, aanze na mawaziri wanao/waliohujumu Uchumi kwa kuwafukuza na kuwafungulia mashtaka, kinyume na hapo anaendelea kutupaka Watz mafuta kwa mgongo wa chupa kwa kutoa kafara "Dagaa" badala ya "Samaki"

.....kwa mtazamo wangu ameanza sawa kabisa. kuwadedisha wakurugenzi ni jambo muafaka maana ni hao hao ambao wapo miaka yote ktk post zao na katu hawachaguliwi kwa kura ila wanabakia ktk post zao hata rais akitoka madarakani. hivyo kuanza nao ni jambo zuri sana (kwangu). at least ukiritimba utapungua na hatimaye atakapoanza kuwajeruhi mawaziri atakuwa anamalizia mwanzo huu. Pia sipendi kusikia kuwa mtu mwenye haiba ya severe anapangiwa kazi yeyote ktk kitengo chochote zaidi ya Isanga dodoma. maana kumrudisha ni sawa na kukubali yaishe. na SISI (wananchi) HATUTAKI.

To hell with Msolla ops Severe...
 
Hii ni problem ingine ya wasomi wetu wanaopata vyeo. Sasa huyu kama ni profesa kwa nini ahangaike kurudi jeshini, si atafute chuo kikuu akafundishe?
 
Kumbe jeshi letu limeendelea sana kuna mpaka maprofesa......

On the serious note naungana na Kitila ni kheri mzee wetu huyu akajikita ndani ya vyuo vikuu titiri tulivyo navyo badala ya kwenda kusoma magazeti pale Ngome...
 
Hii nchi bwana , ukiiangalia sana utapatwa na wazimu tuu, kwani inapofikia mahali polisi wetu wanavalishwa nguo za makampuni ya simu maana yake ni kuwa kama CELTEL wakiwasiliana nao unafikiri wataacha kuchukua hatua?

Inatia aibu kwa polisi wetu kuvaa vinguo vyenye nembo za simu za mkononi.

Hili liprofesa lililoshindwa kufanya hata utafiti likienda vyuo vikuuu si litakuwa likiwalisha watoto wetu masomo yasiyokuwa na kichwa wala miguu, aende tuu akakae kama mstaafu wa jeshi huyu labda huko wanamhitaji kwa ajili ya hospitali za jeshi.
 
Mzalendohalisi:
Hebu tufafanulie hiyo 'MUHAS' ni kitu gani.
Where did you go and got so much impressed to think that you were in the US, MUHAS or NIMR? What do you mean by infrastructure - equipment or what?

I would venture to state that National Institute of Medical Research is heavily funded from external sources, while COTECH is purely dependent on government subventions. And as we all know the vigogo's who decide have little regard for scientific research. That is a fact of our Tanzanian situation.

Kalamu,
1. The Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) is a successor to the Muhimbili University College of Health Sciences (MUCHS).

2. Nilipofika Ocean Rd- mimi nilikuwa na picha za mazingira ya Hospitali ya zamani ya kansa- mbele karibu na WHO ndo nikaingia ndani NIMR (baada ya kupekuliwa sana!)- ndugu yangu hapo kuna infrustructure ya nguvu ya kutisha- utadhani uko Houston! Mambo ya Equipment sijachunguza- sifanhamu! Kwa kweli ukilinganisha na jengo la COSTECH- ni vitu tofauti sana!

3. My point is why has COSTECH been starved of resources? Kwani COSTECH nao hawaruhusiwi au hawana dira kuandika miradi- for infrustructure development kama NIMR au MUHAS? Should the government be the sole provider of funding to COSTECH? Mbona hata NIMR ni mali pia ya serikali?
 
FieldMarshal,

NIMR inaongozwa na Dr. Kitua check www.nimr.or.tz ni kichwa kikali sana hiki.Dr. Malecera ni mratibu wa mradi wa matende kitaifa.

Prof. Kohi anatakiwa sana jeshini kwani jeshini ndo panatakiwa kuwa no. one kwa technolojia, kama uwezaji upo wa uhakika. Hata Chief Justice Augustine Ramadhani is a JWTZ Brigadier General.
 
Kalamu,
1. The Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) is a successor to the Muhimbili University College of Health Sciences (MUCHS).

2. Nilipofika Ocean Rd- mimi nilikuwa na picha za mazingira ya Hospitali ya zamani ya kansa- mbele karibu na WHO ndo nikaingia ndani NIMR (baada ya kupekuliwa sana!)- ndugu yangu hapo kuna infrustructure ya nguvu ya kutisha- utadhani uko Houston! Mambo ya Equipment sijachunguza- sifanhamu! Kwa kweli ukilinganisha na jengo la COSTECH- ni vitu tofauti sana!

3. My point is why has COSTECH been starved of resources? Kwani COSTECH nao hawaruhusiwi au hawana dira kuandika miradi- for infrustructure development kama NIMR au MUHAS? Should the government be the sole provider of funding to COSTECH? Mbona hata NIMR ni mali pia ya serikali?

MzalendoHalisi:
I should have known better about that MUHAS - thanks.

Lakini hiyo MUCHS, au MUHAS sasa, ndio hivyo hivyo; wako constrained ile mbaya kwa kukosa funding. Sehemu yenyewe pale mahali pamekuwa finyu sana - inafaa wahame.
 
Prof. Kohi anatakiwa sana jeshini kwani jeshini ndo panatakiwa kuwa no. one kwa technolojia, kama uwezaji upo wa uhakika. Hata Chief Justice Augustine Ramadhani is a JWTZ Brigadier General.

..technology hiyo itasaidiwa na nini kama ict infrastructure ni ndogo na ambayo haijaendelea!
 
ngereja

FieldMarshal, NIMR inaongozwa na Dr. Kitua check www.nimr.or.tz ni kichwa kikali sana hiki.Dr. Malecera ni mratibu wa mradi wa matende kitaifa.


Mkuu Ngereja,

Heshima mbele mkuu, nimekusikia mkuu, halafu ninaomba kukuliza rais wa dunia wa utafiti wa matende ni yupi kati ya Kitua na Mwele?

Dr. Mwele Ntuli Malecela PhD
Director of Research Coordination and Promotion,
National Institute for Medical Research,
Ocean Road,
P.O. Box Dar-es-salaam
Tel:
 
ngereja

FieldMarshal, NIMR inaongozwa na Dr. Kitua check www.nimr.or.tz ni kichwa kikali sana hiki.Dr. Malecera ni mratibu wa mradi wa matende kitaifa.


Mkuu Ngereja,

Heshima mbele mkuu, nimekusikia mkuu, halafu ninaomba kukuliza rais wa dunia wa utafiti wa matende ni yupi kati ya Kitua na Mwele?

Dr. Mwele Ntuli Malecela PhD
Director of Research Coordination and Promotion,
National Institute for Medical Research,
Ocean Road,
P.O. Box Dar-es-salaam
Tel:


FMES,
1. Je huyu Malecela anahusiana na Mheshimiwa aliyestaafu? Hii isiwe tena kama Ukabila Ikulu, TRA, na BoT n.k na sasa utafiti.

2. Kule kwenye ile thread ya watoto vigogo BoT nilisema kama watoto wa wakubwa kwa kuwa ni Watz- kama wana qualifications- na waliajiriwa- au kupata madaraka kwa jasho bila ushawishi wa wazee wao- wapewe tu nafasi kama Watz wengine- wasibagiliwe. Tatizo ni kama walipitia njia mkato! Ndio kilio cha wengi JF!
 
FMES,
1. Je huyu Malecela anahusiana na Mheshimiwa aliyestaafu? Hii isiwe tena kama Ukabila Ikulu, TRA, na BoT n.k na sasa utafiti.

Ni mtoto wa John Jumanne Samwel Malecela, ila huyu alipata hii kazi NIMR kwa merits, anapigiwa chepeto sana huenda akawa DG wa NIMR anapostaafu mwakani Dr Andrew Kitua.
 
Ni mtoto wa John Jumanne Samwel Malecela, ila huyu alipata hii kazi NIMR kwa merits, anapigiwa chepeto sana huenda akawa DG wa NIMR anapostaafu mwakani Dr Andrew Kitua.

Ushirombo,
Ahsante kwa ufafanuzi! Well- hayo majengo na mazingira niliyaona hapo Ocean RD hivi karibuni- whoever alichangia- awe mtoto wa kibaka au mtoto wa mkubwa- mimi nawapa 5!

May be sii mara zote hawa watoto wa vigogo wanachemsha- may be mara ingine tunawaonea tu bure!
 
Back
Top Bottom