Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,977
- 20,243
Katika hali isiyokuwa ya kawaida amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama rais Jakaya M Kikwete katika twitter kaandika hivi:
Popote tuwakatae watumishi wa umma ambao wanatumia nafasi zao kujilimbikizia mali.Vita hivi si vya Tume ya Utumishi pekee,ni vya taifa zima.
Updates
Baada ya wananchi kumbana kw maswali, hili ndo jibu la mh rais:
Kutumia nafasi uliyo nayo kama mwananchi.Ipo Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa & ile ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
Popote tuwakatae watumishi wa umma ambao wanatumia nafasi zao kujilimbikizia mali.Vita hivi si vya Tume ya Utumishi pekee,ni vya taifa zima.
Updates
Baada ya wananchi kumbana kw maswali, hili ndo jibu la mh rais:
Kutumia nafasi uliyo nayo kama mwananchi.Ipo Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa & ile ya Haki za Binadamu na Utawala Bora