spiritual hero
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 354
- 64
Ujue lipumba ni sawa na homa ya vipindi mtu ameanza kugombea uongozi tangu mwaka 1995 lakini idadi ya kura zake hazijawahi kufika hata laki moja kwa mda wote huo,
kama lipumba angekuwa mboga angekuwa mlenda kabisa anatema mate bure tu.
Sawa ila we unaongelea yaliyopita yeye yuko current kwa yaliyo mbele. Nani jinga apo mkuu?