Power to the People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 1,198
- 892
This thing is so true, Hivi sasa ofisi za serengeti National park zinahamishwa kwa sababu kuna mwekezaji aliyempa JK tuzo huko USA anahitaji kutumia hilo eneo na hataki kuonaona viwatu vikijipitisha pitisha karibu na wageni wake wanaolipa madola mengi.
ukizungumza na watu wa maeneo hayo wanakuambia live hata JK mwenyewe ana hoteli anaporomosha huko Serengeti na akiwa huko hata gari lake lenye bendera hapandi anajimwaga kwenye gari la mwekezaji wanavijiji wanabaki kupungia magari matupu mpaka waje kugundua hayupo msafara umeshapita ni aibu.
And the selling of Serengeti sio kitu ambacho hakipo hata kama sio leo jambo hili limeshazungumziwa. kisingizio ni kwamba ati wanataka waone tofauti iliyopo kama mwekezaji atapewa kuendesha eneo hilo na uendeshaji wa serikali.
Suala la kujiuliza hapa kwa mtu yeyote anayetumia akili ni kwa nini wasitumia maeneo mengine ambayo hayajaweza kujiendesha waje wafanye experiment na sehemu ambayo haina shida ya aina yoyote ile, Kuna maeneo ambayo ni so remote hata kufika watalii ni nadra, kama majaribio wanataka kufanya ambayo pia hayahitajiki kwa nini wasiende kwenye haya maeneo. Wanataka kuharibu hata kile ambacho kinaonekana ni kizuri.
God Bless this country
ukizungumza na watu wa maeneo hayo wanakuambia live hata JK mwenyewe ana hoteli anaporomosha huko Serengeti na akiwa huko hata gari lake lenye bendera hapandi anajimwaga kwenye gari la mwekezaji wanavijiji wanabaki kupungia magari matupu mpaka waje kugundua hayupo msafara umeshapita ni aibu.
And the selling of Serengeti sio kitu ambacho hakipo hata kama sio leo jambo hili limeshazungumziwa. kisingizio ni kwamba ati wanataka waone tofauti iliyopo kama mwekezaji atapewa kuendesha eneo hilo na uendeshaji wa serikali.
Suala la kujiuliza hapa kwa mtu yeyote anayetumia akili ni kwa nini wasitumia maeneo mengine ambayo hayajaweza kujiendesha waje wafanye experiment na sehemu ambayo haina shida ya aina yoyote ile, Kuna maeneo ambayo ni so remote hata kufika watalii ni nadra, kama majaribio wanataka kufanya ambayo pia hayahitajiki kwa nini wasiende kwenye haya maeneo. Wanataka kuharibu hata kile ambacho kinaonekana ni kizuri.
God Bless this country