Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,138
- 79,268
usichanganye mchanga na sukari! Slaa ameteleza yaani mabafu ya ma-guset na mahoteli yetu tiles hazina viwango! JK kadondoka kwa afya mbovu! tuseme ukweliKuanguka sio yeye tu kumbuka Dr Slaa aliaguka majuzi bafuni Mwanza na kuvunjika mkono,ile ni ajali kama ajali nyingine