Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
huyu kikwete atakuwa nusu mtu, na nusu. ama sivyo anawazuga watu, kwa kuwapima wajinga wake ni kwa kiasi gani wanampenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakuwa anaelekea milingotini kwa wale mapacha wawili waliorithi kazi ya marehemu baba yao (manake nguvu za giza zitakuwa zimeshamalizwa pale jangwani!!)
jamaa anumwa wanatuambia swaumu....hwa watu vp bana...asisngizie swaumu
Rip:becky:
hivi kwa nini waislam wengine hawadondoki dondoki wakati wa mfungo??? au wanafunga kinafiki? au wanakula kwa siri??
Nawashangaa sana CCM! Kwa nini wasitwambie ukweli ? Asiumwe yeye ni nani kwa sababu ni Rais, tukumbuke Rais hakujiumba mwenyewe.
Rais alipumzika kidogo na akaendelea na speech. Hali ni nzuri na mambo ni shwari.
Kila binadamu anaumwa kwa wakati wake. Tumtakie kheri pamoja na tofauti zetu za kiitikadi.
Ili?.....
Ni kweli amedondoka madodyguard wa bongo ni wa hovyo wqamemwacha hadi mzee mzima analamba mchanga badala ya kumwahi asidondoke jumla!
...kutafuta huruma za watu, maybe? I am riding on the same train of thoughts...:confused2:
Kwani alizimiaMungu ampe nguvu ili azinduke
Swaumu? Hakuna lolote anatafuta public huruma ya wananchi! Ah siasa kazi kwelikweli!Inawezekana ikawa ni saumu kutokana na mazingira yaliyopo. Bila shaka tangu asubuhi alikuwa na kazi nzito za kichama katika kuhakikisha maandalizi yanaenda vizuri. Pole yake.