Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Ni kweli ameanguka -- hii ni mara ya 3 sasa anadondoka kwenye majukwaa in 5 years. Tatizo kubwa ni kwamba wananchi hatuambiwi kinagaubaga anaumwa kitu gani. Leo tumeambiwa ni kwa sababu ya swaumu ya Ramadhani -- yaani anashindwa kumudu swaumu?
Mwaka 2005 hapo hapo Jangwani alidondoka na baadaye tukaambiwa ni kutokana na kufunga (haikuwa mwezi wa Ramadhani). Kuna uvumi kwamba ana kisukari cha kushuka. Kama ni hivyo kwani kisukari ni ugonjwa wa siri? Si waseme tu, wanaficha nini?
Mwaka 2005 hapo hapo Jangwani alidondoka na baadaye tukaambiwa ni kutokana na kufunga (haikuwa mwezi wa Ramadhani). Kuna uvumi kwamba ana kisukari cha kushuka. Kama ni hivyo kwani kisukari ni ugonjwa wa siri? Si waseme tu, wanaficha nini?