darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,700
- 16,853
Habari zilijojiri hivi karibuni zinasemwa kwamba,uchaguzi wa mwenyekiti wa tume ya Afrika (AU) uliofanyika Kigali umeahirishwa mpaka Januari mwakani ili kumpata mgombea anayetosha(mwenye nguvu na ushawishi).
Tokea mwanzo wa uchaguzi kulikuwa na tetesi kwamba uchaguzi huo ungehairishwa ili kumpa nafasi Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Kikwete nafasi hiyo.
Hivi karibuni JK alikaririrwa kwamba akiombwa kuisadia Afrika atafanya hivyo.
sources:The Failure of AU Commission Election : Lessons and Perspectives
AU leaders fail to choose a successor to Dlamini Zuma - CHANNELAFRICA
AU CHAIRPERSON MAKHOSAZANA ZUMA
Tokea mwanzo wa uchaguzi kulikuwa na tetesi kwamba uchaguzi huo ungehairishwa ili kumpa nafasi Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Kikwete nafasi hiyo.
Hivi karibuni JK alikaririrwa kwamba akiombwa kuisadia Afrika atafanya hivyo.
sources:The Failure of AU Commission Election : Lessons and Perspectives
AU leaders fail to choose a successor to Dlamini Zuma - CHANNELAFRICA
AU CHAIRPERSON MAKHOSAZANA ZUMA