AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 180
Baada ya ushindi wa jumapili kutafsiriwa kuwa ni kutokana na kutokuwepo kwa raisi uwanjani,jk amekiri kuwa huenda damu yake haiko na mapenzi ya dhati kwa timu zetu za taifa hivyo ameapa kuwa hataenda uwanjani hata mara moja pale timu za taifa zikiwa zinacheza ili kuwahakikishia ushindi wakati wote.
Teheeeeeeeeeeeeeeeee mkwere bana hivi kumbe anajua anagundu;;;
Teheeeeeeeeeeeeeeeee mkwere bana hivi kumbe anajua anagundu;;;