joyce juma
New Member
- Feb 17, 2019
- 2
- 2
Nimenunua bidhaa kupitia KIKUU biashara ya mitandao mwaka pili sasa ila wameanza ufigisufigisu sasa.Bidhaa inaonyesha imeshafika Dar es Salaam Ofisini kwao wiki na nusu lakini hawanipi taarifa lini nitaipata.Ukiwauliza wanasema watanipigia simu nikauchukue.Inaanza kunikatisha tamaa ya kuagiza mizigo mingine..