Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Kwa kitendo cha kumuengua Godbless Lema kwa hila chafu imeedhihirisha wazi wazi kuwa Serikali ya sisiemu haina nia ya dhati ya kuwaletea maendeleo watanzania bali ipo kwa madhumuni ya kuwanyonya wananchi wake na kuwadhorotesha na kuwafanya masikini wa kutubwa kwa manufaa yao (ccm) wenyewe ya kutawala.
Ni jambo la kushangaza kila kukicha kuingia katika chaguzi ndigo ambazo zinagharimu mabilion ya shilingi za nchi masikini kama Tanzania. mwezi january alikaririwa Msajiri wa vyama vya siasa ndugu John Tendwa akisema uchaguzi mdogo mmoja (by election) unagharimu si chini ya BILION 19 za kitanzania. juzi ilikuwa Igunga, jana Arumeru Mashariki, na kesho ni Arusha kesho kutwa je? mnategemea kwe mwendo huu maendeleo yatafikiwa? hapa kazi ipo!
Ni jambo la kushangaza kila kukicha kuingia katika chaguzi ndigo ambazo zinagharimu mabilion ya shilingi za nchi masikini kama Tanzania. mwezi january alikaririwa Msajiri wa vyama vya siasa ndugu John Tendwa akisema uchaguzi mdogo mmoja (by election) unagharimu si chini ya BILION 19 za kitanzania. juzi ilikuwa Igunga, jana Arumeru Mashariki, na kesho ni Arusha kesho kutwa je? mnategemea kwe mwendo huu maendeleo yatafikiwa? hapa kazi ipo!