Huna lolote unalojua zaidi ya kuwa na uwezo chini ya kawaida. Siku zote umejifanya unajua soka lkn kiuhakika unapaswa kuishia kuwa shabiki wa Faru dume FC. Huko Simba unajitahidi kuwadanganya wanaSimba wa JF àmbao Kwa Sasa wengi wamekushitikia. Ni Bora ungekaa kimya ukaficha ujinga wako kuliko kusema ukajianika Kila kitu.Ni kawaida na mawaumbile Mungu ameumba, nimemueleza tu kuwa aweke vizuri.
Kwani wee ukiambiwa tumia akili umekashifiwa?
Halafu acha kujipa uwezo ambao huna mkuu wewe si chochote kwenye uerevu bali, ni mpuuzi fulani hivi.
Unajua nini wewe ikiwa tu Mchezaji kuingia uwanjani bila ruhusa ya mwamuzi hufahamu mpaka unakuja kuuliza hapa.Huna lolote unalojua zaidi ya kuwa na uwezo chini ya kawaida. Siku zote umejifanya unajua soka lkn kiuhakika unapaswa kuishia kuwa shabiki wa Faru dume FC. Huko Simba unajitahidi kuwadanganya wanaSimba wa JF àmbao Kwa Sasa wengi wamekushitikia. Ni Bora ungekaa kimya ukaficha ujinga wako kuliko kusema ukajianika Kila kitu.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Acha undezi mimi kwa kipa sinzungumzii kukosa mechi mimi nazungumiza magoli ya kufungwa kati diara, manura na mnata nani ksfungwa goli nyingiWe utakuwa na mahaba na Diara kwani hata yeye kuna game hawepo ndo nimempunguza alama
Lakini golikipa mzuri..!
Sasa Manula si namba moja hapo au ukitaka Diara awe namba ngapi?Acha undezi mimi kwa kipa sinzungumzii kukosa mechi mimi nazungumiza magoli ya kufungwa kati diara, manura na mnata nani ksfungwa goli nyingi
Mkuu muda mwingine usibishane na mbumbumbu unapoteza muda wako,wanatafuta pa kujifariji wanakosa wanaamua kuandika mashuduAcha undezi mimi kwa kipa sinzungumzii kukosa mechi mimi nazungumiza magoli ya kufungwa kati diara, manura na mnata nani ksfungwa goli nyingi
Huyo Ni Dube Wa Msimu Uliopita Sio Huu, Timu Yako Uloipanga Ni Nzuri Kuanzia Nyuma Mpaka Kwa Viungo Lakini Kwa Hao Washambuliaji Watatu Apo Mbele Umezingua.Ni player mzuri sana akipata watu sahihi, na msaidizi wake hapo naweza kumuweka Mzee Ntibanzokiza.
Makolo Fc mnapiga siasa siku hizi.Ondoa wachezaji wetu kwenye hicho kikosi chako.Natumai ni Wazima Wote Hapa..!
Ufuatao ni mtazamo wangu kuhusu Kikosi cha kwanza cha Wachezaji na Benchi la Ufundi kwenye NBC Premier League msimu huu wa 2022 kwa mzunguko wa kwanza na baada ya mchezo wa kwanza kwa mzunguko wa pili.
Kikosi cha kwanza;
1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Inonga Henock
5. Bakari Mwamnyeto
6. Khalid Aucho
7. Pape Sakho
8. Claotus Chama
9. Reliants Lusajo
10. Prince Dube
11. Vitalis Mayanga
Akiba;
1. Metacha Mnata
2. Lusajo Mwaikenda
3. Dickson Kibabage
4. Abdallah Kheri
5. Faisal Salum
6. Aziz Andambwile
7. Sadio Kanoute
8. Cleophace Mkandala
9. Fiston Mayele
Kocha Mkuu;
Pablo Franco Martin
Kocha Msaidizi;
Mathias Lule
Kocha wa magolikipa;
Milton Nienov
Daktari wa Timu;
Fareed Cassem
Rangi ya Jezi;
Home - Red
Away - Blue
Third Kit - Black & Orange
Uwanja wa Nyumbani;
Azam Complex.
CEO;
Abdulkarim Amin Popat
Basi la Timu;
Zhongtong Climber New Model.
Sawa huyo Chama amecheza mechi nyagapi mzunguko wa kwanzaNatumai ni Wazima Wote Hapa..!
Ufuatao ni mtazamo wangu kuhusu Kikosi cha kwanza cha Wachezaji na Benchi la Ufundi kwenye NBC Premier League msimu huu wa 2022 kwa mzunguko wa kwanza na baada ya mchezo wa kwanza kwa mzunguko wa pili.
Kikosi cha kwanza;
1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Inonga Henock
5. Bakari Mwamnyeto
6. Khalid Aucho
7. Pape Sakho
8. Claotus Chama
9. Reliants Lusajo
10. Prince Dube
11. Vitalis Mayanga
Akiba;
1. Metacha Mnata
2. Lusajo Mwaikenda
3. Dickson Kibabage
4. Abdallah Kheri
5. Faisal Salum
6. Aziz Andambwile
7. Sadio Kanoute
8. Cleophace Mkandala
9. Fiston Mayele
Kocha Mkuu;
Pablo Franco Martin
Kocha Msaidizi;
Mathias Lule
Kocha wa magolikipa;
Milton Nienov
Daktari wa Timu;
Fareed Cassem
Rangi ya Jezi;
Home - Red
Away - Blue
Third Kit - Black & Orange
Uwanja wa Nyumbani;
Azam Complex.
CEO;
Abdulkarim Amin Popat
Basi la Timu;
Zhongtong Climber New Model.
Jamaa anakua kama inzi yeye akiamka asubuhi anawaza mavi yake yako wapiMkuu muda mwingine usibishane na mbumbumbu unapoteza muda wako,wanatafuta pa kujifariji wanakosa wanaamua kuandika mashudu
Aliyewapa jina la mbumbumbu fc hajakosea ,akili kisoda hamna tofauti na kerubi wa mfalme zumaridiUliona wapi Manyani, Sokwe wakaelewa chochote..Toa mwiko huo unaokutekenya halafu uje hapa
Ni kweli ... maana huyo ni mviziaji.Umefanya jambo la busara sana kumuweka mayele sub
Naona umeshapanic bwana mdogo relax mpira hauitaji hasira kunywa maji ushushe temperHivi yule Kocha Luc umesahau alivyokuita Nyani, Sokwe? Umepanik bwana wako kukaa benchi..! Punguani wa Akili