Alikutana na bahasha ya Kaki akapendezwa nayoGeorge Mpole nimempunguza alama kufuatia mchezo wao uliopita..Alikuwa anabutua sana akifika eneo la 18 baada ya kuwa mtulivu.
Sijui alikumbwa na dhahama gani..!
Alikutana na bahasha ya Kaki akapendezwa nayoGeorge Mpole nimempunguza alama kufuatia mchezo wao uliopita..Alikuwa anabutua sana akifika eneo la 18 baada ya kuwa mtulivu.
Sijui alikumbwa na dhahama gani..!
kama kukosa mechi ni kigezo, chama ana game ngapi mzunguko wa kwanza?We utakuwa na mahaba na Diara kwani hata yeye kuna game hawepo ndo nimempunguza alama
Lakini golikipa mzuri..!
Natumai ni Wazima Wote Hapa..!
Ufuatao ni mtazamo wangu kuhusu Kikosi cha kwanza cha Wachezaji na Benchi la Ufundi kwenye NBC Premier League msimu huu wa 2022 kwa mzunguko wa kwanza na baada ya mchezo wa kwanza kwa mzunguko wa pili.
Kikosi cha kwanza;
1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Inonga Henock
5. Bakari Mwamnyeto
6. Khalid Aucho
7. Pape Sakho
8. Claotus Chama
9. Reliants Lusajo
10. Prince Dube
11. Vitalis Mayanga
Akiba;
1. Metacha Mnata
2. Lusajo Mwaikenda
3. Dickson Kibabage
4. Abdallah Kheri
5. Faisal Salum
6. Aziz Andambwile
7. Sadio Kanoute
8. Cleophace Mkandala
9. Fiston Mayele
Kocha Mkuu;
Pablo Franco Martin
Kocha Msaidizi;
Mathias Lule
Kocha wa magolikipa;
Milton Nienov
Daktari wa Timu;
Fareed Cassem
Rangi ya Jezi;
Home - Red
Away - Blue
Third Kit - Black & Orange
Uwanja wa Nyumbani;
Azam Complex.
CEO;
Abdulkarim Amin Popat
Basi la Timu;
Zhongtong Climber New Model.
Unapoteza muda bure jamaa hili tunalijua wazi haina haja ya kujisumbua kuliuliza.kama kukosa mechi ni kigezo, chama ana game ngapi mzunguko wa kwanza?
Hii ndio furaha pekee iliyo bakiNatumai ni Wazima Wote Hapa..!
Ufuatao ni mtazamo wangu kuhusu Kikosi cha kwanza cha Wachezaji na Benchi la Ufundi kwenye NBC Premier League msimu huu wa 2022 kwa mzunguko wa kwanza na baada ya mchezo wa kwanza kwa mzunguko wa pili.
Kikosi cha kwanza;
1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Inonga Henock
5. Bakari Mwamnyeto
6. Khalid Aucho
7. Pape Sakho
8. Claotus Chama
9. Reliants Lusajo
10. Prince Dube
11. Vitalis Mayanga
Akiba;
1. Metacha Mnata
2. Lusajo Mwaikenda
3. Dickson Kibabage
4. Abdallah Kheri
5. Faisal Salum
6. Aziz Andambwile
7. Sadio Kanoute
8. Cleophace Mkandala
9. Fiston Mayele
Kocha Mkuu;
Pablo Franco Martin
Kocha Msaidizi;
Mathias Lule
Kocha wa magolikipa;
Milton Nienov
Daktari wa Timu;
Fareed Cassem
Rangi ya Jezi;
Home - Red
Away - Blue
Third Kit - Black & Orange
Uwanja wa Nyumbani;
Azam Complex.
CEO;
Abdulkarim Amin Popat
Basi la Timu;
Zhongtong Climber New Model.