Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,257
- 105,390
Kuwa mfuasi wa Magamba yataka moyo.......
Wanaonifuatilia JF wanajua sina affiliation na chama chochote, naenda na principles ambazo zinachana kotekote kama msumeno wa sheria.
Wewe ambaye unafuata chama bila kuuliza maswali ya ku challenge, maswali ambayo yanaweza hata kukisaidia chama chako mwenyewe, ndiye utakayeona mimi ni mfuasi wa "magamba" bila hata kujua rekodi yangu hapa JF.
And of course you can't reply with answers, just idiocratic vomit.