Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We are always not serious in everything!kazi yao ni kutoa kichapo kwa raia..
Ajali ilotokea nungwi meli imezama kwenye kina kirefu sana. Hakuna vifaa vya kusaidia kikosi kufanya kazi yake. Thats why hata s/african divers wameshindwa.
hawana lolote hao, wanasema vifaa hawana. Jeshi kukosa vifaa sielewi maana yake ni nn.
Mzee wa suti tanokazi yao kubwa ni kutembea kikakamavu mbele ya mfalme. amiri jeshi mkuu. dkt. alhaj. mh. Rais wa jaaamuhuri ya muungwana wa danganyika
Walifute baad ya kupata vifaa walianzishe kulikoni kula mshahara kwakupiga gwarideJe kuna uwezokano wowote wa kulifutilia mbali hili Jeshi? naomba muongozo kama inawezekana bora tulifute na tuanzishe jingine
<br />hadi ww upo kwny keyboard unaandika habari za ku-demoralize wanajeshi unaowaita wafyeka majani ni kwa sbb kuna wenzio wanakesha mipakani kwny mahandaki kuhakikisha ww hudhuriki..., ukitaka kuamn kuna wa2 wanaliheshim jeshi nenda kaboya au boda zenye matatizo ya majirani afu utoe maneno unayoyatoa hapa mbele ya raia kule uone..., kwa muonekano wa nje unaweza kudhani watu hawana kazi hadi mchangiaji mmoja anasema lifutwe.., kaa chini fkiria mara mbili..., then kama una ndugu/rafiki mwombe akuletee "shughuli za jeshi wakati wa amani" then utaelewa..,<br />
<br />
Mtoa mada.., wanamaji ni jeshi na si kikosi....., na zile parade zinakua na watu maalum wa parade..., <br />
<br />
Kuhusu vifaa..., siasa za nchi hii zinakwamisha mambo mengi sana.., unafkiri kuna mwanajeshi anapenda kukaa ndani ya apc isiyokua na computer au kutumia kifaru cha mrusi cha tangu vita ya uganda??
<br />hadi ww upo kwny keyboard unaandika habari za ku-demoralize wanajeshi unaowaita wafyeka majani ni kwa sbb kuna wenzio wanakesha mipakani kwny mahandaki kuhakikisha ww hudhuriki..., ukitaka kuamn kuna wa2 wanaliheshim jeshi nenda kaboya au boda zenye matatizo ya majirani afu utoe maneno unayoyatoa hapa mbele ya raia kule uone..., kwa muonekano wa nje unaweza kudhani watu hawana kazi hadi mchangiaji mmoja anasema lifutwe.., kaa chini fkiria mara mbili..., then kama una ndugu/rafiki mwombe akuletee "shughuli za jeshi wakati wa amani" then utaelewa..,<br />
<br />
Mtoa mada.., wanamaji ni jeshi na si kikosi....., na zile parade zinakua na watu maalum wa parade..., <br />
<br />
Kuhusu vifaa..., siasa za nchi hii zinakwamisha mambo mengi sana.., unafkiri kuna mwanajeshi anapenda kukaa ndani ya apc isiyokua na computer au kutumia kifaru cha mrusi cha tangu vita ya uganda??
But mkuu unatoka njehadi ww upo kwny keyboard unaandika habari za ku-demoralize wanajeshi unaowaita wafyeka majani ni kwa sbb kuna wenzio wanakesha mipakani kwny mahandaki kuhakikisha ww hudhuriki..., ukitaka kuamn kuna wa2 wanaliheshim jeshi nenda kaboya au boda zenye matatizo ya majirani afu utoe maneno unayoyatoa hapa mbele ya raia kule uone..., kwa muonekano wa nje unaweza kudhani watu hawana kazi hadi mchangiaji mmoja anasema lifutwe.., kaa chini fkiria mara mbili..., then kama una ndugu/rafiki mwombe akuletee "shughuli za jeshi wakati wa amani" then utaelewa..,
Mtoa mada.., wanamaji ni jeshi na si kikosi....., na zile parade zinakua na watu maalum wa parade...,
Kuhusu vifaa..., siasa za nchi hii zinakwamisha mambo mengi sana.., unafkiri kuna mwanajeshi anapenda kukaa ndani ya apc isiyokua na computer au kutumia kifaru cha mrusi cha tangu vita ya uganda??