Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,404
- 36,543
Basi tusilalamike sana maana hali yetu tunaijuaHata wangeruhusiwa kupeleka ligi nzima na wote wacheze kipigo kiko palepale
Basi tusilalamike sana maana hali yetu tunaijuaHata wangeruhusiwa kupeleka ligi nzima na wote wacheze kipigo kiko palepale
Yupo jina namba 21Yule Yusuph wa blackpool nae katemwa duuuh
Yani bila mkude na Ajibu!!???Yangu macho. Kila la kheri staz ya bila mkude na mbappe
Na Timu yake kule Misri si imeshuka daraja pia?Ameshuka kiwango si yule tena ata kichuya naye ayuko vizuri..... Niliwaona ile day ya SamaKiba
AiseeeeKuna mchezaji mmoja himmid mao huyo ni wasted sperms kabisa
Asaidiane na Mbwiga wa Cloudsteh
Tukupe ukocha basi anko
Msaidizi wako akiwa Mbwiga wa Clouds Taifa Stars itafika mbali sanaMimi nikipewa ukocha nitachagua tu marafiki zangu.
Hapana aijashuka.....! Iliyoshuka ni ya kina Himid Mao.....Na Timu yake kule Misri si imeshuka daraja pia?
Kama mchezaji wa zamani ulaya mapro wote hakuna kuchomekea na wanapiga mbungi hatari... Yeye kama anaenda ofisiniIla kuna watu wana mkubali vibaya mno. Nahisi wana vutiwa na jinsi unavyo chomekea tshirt yake kwenye bukta ndani ya dakika zote 90.
Mlitaka atoke nani sasa?? Huyo kichuya hamna kitu kabisa