Kikosi cha wachezaji 23 cha Taifa Stars AFCON 2019 chatajwa

Mtapenda

JF-Expert Member
Sep 20, 2011
1,115
2,053
kichuya abdi banda na kelvin John aka mbape out
Screenshot_20190612-015505~2.jpeg
 
Abdi Banda ni mchezaji mzuri sana nafkiri kocha ana aleji naye, sioni sababu ya kuweka makipa 3 wakati hatuendi mbali, Nikiicheck Senegal naona hapa kuna mkono cku ya kwanza kucheza
Hujasikia Bench la ufundi limeongezwa? Tumeongeza wataalam wawili wa ki Misri, mmoja ni bingwa wa viwango na mwingine misuli
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom