Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye kundi letu hatupo na Nigeria.senegal watatufunga goli 5, kenya watatufunga 2, nigeria wanatupiga 4. jumla ni 11-0
Mlitaka atoke nani sasa?? Huyo kichuya hamna kitu kabisa
Yule Yusuph wa blackpool nae katemwa duuuh
Ameshuka kiwango si yule tena ata kichuya naye ayuko vizuri..... Niliwaona ile day ya SamaKibaAbdi Banda ni mchezaji mzuri sana nafkiri kocha ana aleji naye, sioni sababu ya kuweka makipa 3 wakati hatuendi mbali, Nikiicheck Senegal naona hapa kuna mkono cku ya kwanza kucheza
Nimekusoma mkuuYupo
Hujasikia Bench la ufundi limeongezwa? Tumeongeza wataalam wawili wa ki Misri, mmoja ni bingwa wa viwango na mwingine misuliAbdi Banda ni mchezaji mzuri sana nafkiri kocha ana aleji naye, sioni sababu ya kuweka makipa 3 wakati hatuendi mbali, Nikiicheck Senegal naona hapa kuna mkono cku ya kwanza kucheza
Wangeongeza na mtaalamu wakupunguza magoli mengiHujasikia Bench la ufundi limeongezwa? Tumeongeza wataalam wawili wa ki Misri, mmoja ni bingwa wa viwango na mwingine misuli
Katemwa bossYupo
Ulimwengu je. Yupo kwenye kiwango chake?Ameshuka kiwango si yule tena ata kichuya naye ayuko vizuri..... Niliwaona ile day ya SamaKiba