Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Sheria ya Kuzuia Rushwa imeainisha majukumu ya Kikosi cha Kuzuia Rushwa kwamba ni: -[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](a) Kuchukua hatua zifaazo zenye lengo la kuzuia rushwa katika sekta za Umma, Mashirika ya Umma na Sekta Binafsi.[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](b) Kupeleleza, na kwa maelekezo ya Mkurugenzi wa Mashitaka, kufikisha mahakamani makosa ya rushwa na[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](c) Kuishauri serikali, mashirika ya umma na sekta binafsi kuhusu njia za kuzuia rushwa. [/FONT]
Wana jamii,
1. Je kikosi hiki kweli kina fanya kazi yake sawa?
2. Je hayo tu ndo yalipaswa kuwa majukumu yake?
3. Je kikosi hiki hudhibitiwa na nani?
4. Kikosi hiki kiko huru nje ya itikadi za siasa?
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](a) Kuchukua hatua zifaazo zenye lengo la kuzuia rushwa katika sekta za Umma, Mashirika ya Umma na Sekta Binafsi.[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](b) Kupeleleza, na kwa maelekezo ya Mkurugenzi wa Mashitaka, kufikisha mahakamani makosa ya rushwa na[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](c) Kuishauri serikali, mashirika ya umma na sekta binafsi kuhusu njia za kuzuia rushwa. [/FONT]
Wana jamii,
1. Je kikosi hiki kweli kina fanya kazi yake sawa?
2. Je hayo tu ndo yalipaswa kuwa majukumu yake?
3. Je kikosi hiki hudhibitiwa na nani?
4. Kikosi hiki kiko huru nje ya itikadi za siasa?