Kikosi cha kuzuia rushwa

Exaud J. Makyao

JF-Expert Member
Nov 30, 2008
1,518
22
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Sheria ya Kuzuia Rushwa imeainisha majukumu ya Kikosi cha Kuzuia Rushwa kwamba ni: -[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](a) Kuchukua hatua zifaazo zenye lengo la kuzuia rushwa katika sekta za Umma, Mashirika ya Umma na Sekta Binafsi.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](b) Kupeleleza, na kwa maelekezo ya Mkurugenzi wa Mashitaka, kufikisha mahakamani makosa ya rushwa na[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](c) Kuishauri serikali, mashirika ya umma na sekta binafsi kuhusu njia za kuzuia rushwa. [/FONT]

Wana jamii,
1. Je kikosi hiki kweli kina fanya kazi yake sawa?
2. Je hayo tu ndo yalipaswa kuwa majukumu yake?
3. Je kikosi hiki hudhibitiwa na nani?
4. Kikosi hiki kiko huru nje ya itikadi za siasa?
 
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Sheria ya Kuzuia Rushwa imeainisha majukumu ya Kikosi cha Kuzuia Rushwa kwamba ni: -[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](a) Kuchukua hatua zifaazo zenye lengo la kuzuia rushwa katika sekta za Umma, Mashirika ya Umma na Sekta Binafsi.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](b) Kupeleleza, na kwa maelekezo ya Mkurugenzi wa Mashitaka, kufikisha mahakamani makosa ya rushwa na[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](c) Kuishauri serikali, mashirika ya umma na sekta binafsi kuhusu njia za kuzuia rushwa. [/FONT]

Wana jamii,
1. Je kikosi hiki kweli kina fanya kazi yake sawa?
2. Je hayo tu ndo yalipaswa kuwa majukumu yake?
3. Je kikosi hiki hudhibitiwa na nani?
4. Kikosi hiki kiko huru nje ya itikadi za siasa?

Kikosi hiki (Anti-Corruption Squad) hakipo tena kisheria! Kafanye homework yako tena uje na maswali ya kuuliza kama yatakuwepo!
 
Sheria ya Kuzuia Rushwa imeainisha majukumu ya Kikosi cha Kuzuia Rushwa kwamba ni: -

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](a) Kuchukua hatua zifaazo zenye lengo la kuzuia rushwa katika sekta za Umma, Mashirika ya Umma na Sekta Binafsi.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](b) Kupeleleza, na kwa maelekezo ya Mkurugenzi wa Mashitaka, kufikisha mahakamani makosa ya rushwa na[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](c) Kuishauri serikali, mashirika ya umma na sekta binafsi kuhusu njia za kuzuia rushwa. [/FONT]

Sheria hiyo imefanyiwa marekebisho mwaka 2006 na sasa kikosi hicho kimepewa meno kwa kufikisha kesi mahakamani.
 
Sheria ya Kuzuia Rushwa imeainisha majukumu ya Kikosi cha Kuzuia Rushwa kwamba ni: -

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](a) Kuchukua hatua zifaazo zenye lengo la kuzuia rushwa katika sekta za Umma, Mashirika ya Umma na Sekta Binafsi.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](b) Kupeleleza, na kwa maelekezo ya Mkurugenzi wa Mashitaka, kufikisha mahakamani makosa ya rushwa na[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](c) Kuishauri serikali, mashirika ya umma na sekta binafsi kuhusu njia za kuzuia rushwa. [/FONT]

Sheria hiyo imefanyiwa marekebisho mwaka 2006 na sasa kikosi hicho kimepewa meno kwa kufikisha kesi mahakamani.
 
Sheria hiyo imefanyiwa marekebisho mwaka 2006 na sasa kikosi hicho kimepewa meno kwa kufikisha kesi mahakamani.

BARUBARU,
Asante kwa updates.
Lakini Mwana JF Buchanan anasema kuwa kikosi hiki hakiko tena kisheria.
Hii inapingana na maelezo yako?
 
We now have the new Legislation (The Prevention and Combating of Corruption Act, 2007, No. 11 of 2007 - hereinafter referred to as the 2007 Act) which repealed and replaced the Prevention of Corruption Act, 1971, No. 16 of 1971 (hereinafter referred to as the 1971 Act) and established the Prevention of and Combating of Corruption Bureau. So the 1971 Act which once established the Anti - Corruption Squad was later amended and established the Prevention of Corruption Bureau - PCB. The 1971 Act was then repealed and replaced by the 2007 Act and the PCB was transformed into the Prevention and Combating of Corruption Bureau - PCCB. Now the functions of PCCB are described in section 7 of the 2007 Act as follows:

Section 7.​
Functions of the Bureau shall be to take necessary
measures for the prevention and combating of corruption in the
public, parastatal and private sectors and in that regard, the Bureau
shall-
(a) examine and advise the practices and procedures of public,
parastatal and private organisations, in order to facilitate
the detection of corruption or prevent corruption and
secure the revision of methods of work or procedure
which appear to add to the efficiency and transparency of
9
the institution concerned;
(b) enlist and foster public support in combating corrupt
practices;
(c) advise public, private and parastatal bodies on ways and
means of preventing corrupt practices, and on changes in
methods of work or procedures of such public, private and
parastatal bodies compatible with the effective
performance of their duties, which the Bureau considers
necessary to reduce the incidences of corrupt practices;
(d) cooperate and collaborate with international institutions,
agencies or organisations in the fight against corruption;
(e) investigate and, subject to the directions of the Director of
Public Prosecutions, prosecute offences under this Act and
other offences involving corruption; and
(f) investigate any alleged or suspected -
(i) offence under this Act;
(ii) conspiracy to commit an offence under this Act;
(iii) conduct of a public official which is connected to

corruption.
Have a nice discussion!
 
Waliking'oa meno baada ya Mwinyi kushindwa kukifuta. Sasa hivi hakina ubavu wa kuanzisha mashtaka lazima kiyapeleke na kupata baraka za Director of Public Prosecution.
 
Waliking'oa meno baada ya Mwinyi kushindwa kukifuta. Sasa hivi hakina ubavu wa kuanzisha mashtaka lazima kiyapeleke na kupata baraka za Director of Public Prosecution.
DPP ndiye mkuu wa mashtaka ya Jinai nchini, kwa hiyo kesi zote lazima ziendeshwe na yeye moja kwa moja au kupitia watu aliowapa mamlaka kwa ujumla wao au mmoja moja. Hata hivyo kuna baadhi ya kesi ambazo zinaweza kupelekwa moja kwa moja bila kupitia kwake au kutoa kibali! Sio suala la kuwa na meno au la bali ni utaratibu ili kuepusha abuse of power. Remember ABSOLUTE POWER CORRUPTS ABSOLUTELY!
 
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Sheria ya Kuzuia Rushwa imeainisha majukumu ya Kikosi cha Kuzuia Rushwa kwamba ni: -[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](a) Kuchukua hatua zifaazo zenye lengo la kuzuia rushwa katika sekta za Umma, Mashirika ya Umma na Sekta Binafsi.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](b) Kupeleleza, na kwa maelekezo ya Mkurugenzi wa Mashitaka, kufikisha mahakamani makosa ya rushwa na[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif](c) Kuishauri serikali, mashirika ya umma na sekta binafsi kuhusu njia za kuzuia rushwa. [/FONT]

Wana jamii,
1. Je kikosi hiki kweli kina fanya kazi yake sawa?
2. Je hayo tu ndo yalipaswa kuwa majukumu yake?
3. Je kikosi hiki hudhibitiwa na nani?
4. Kikosi hiki kiko huru nje ya itikadi za siasa?

Ndugu yangu, kuna thread nimeanzisha hapa JF jana inaonyesha vyombo vya kupambana na Rushwa vinavyobadilika toka tupate uhuru.Tembelea utaelewa kuwa hiki unachouliza hapa hakipo tena.

Kwa majibu ya haraka PCCB kwa sasa iko chini ya Ofisi ya Rais, majukumu yake ni kuzuia na kupambana na Rushwa kupitia kutoa elimu kwa umma,kupeleleza na kushtaki makosa ya rushwa.
 

...kwa hiyo kesi zote lazima ziendeshwe na yeye moja kwa moja au kupitia watu aliowapa mamlaka kwa ujumla wao au mmoja moja. Hata hivyo kuna baadhi ya kesi ambazo zinaweza kupelekwa moja kwa moja bila kupitia kwake au kutoa kibali!

Ukishasema kesi zote ni lazima, huwezi tena ukasema hata hivyo kuna baadhi ya kesi...Nikishaona unajifunga funga na matatizo ya lugha, naanza kuhofia kwamba hata unachoniambia unaweza kuwa hukijui, unajiongelea ongelea tu. Kiswahili si kigumu kiasi hicho.
 
Kuna tofauti gani kati ya sheria ilivyo sasa kipengele (e) na kipengele hicho hicho kwenye nchi yenye lengo kweli la kupigana na rushwa?



Section 7.​
Functions of the Bureau shall be to take necessary
measures for the prevention and combating of corruption in the
public, parastatal and private sectors and in that regard, the Bureau
shall-

(e) investigate and, subject to the directions of the Director of
Public Prosecutions, prosecute offences under this Act and
other offences involving corruption; and



Na kama kipengele hicho kingesomeka hivi:
Section 7.​
Functions of the Bureau shall be to take necessary
measures for the prevention and combating of corruption in the
public, parastatal and private sectors and in that regard, the Bureau
shall-

(e) investigate and prosecute offences under this Act and
other offences involving corruption; and




 
Ukishasema kesi zote ni lazima, huwezi tena ukasema hata hivyo kuna baadhi ya kesi...Nikishaona unajifunga funga na matatizo ya lugha, naanza kuhofia kwamba hata unachoniambia unaweza kuwa hukijui, unajiongelea ongelea tu. Kiswahili si kigumu kiasi hicho.

There are exceptions whenever there are some general rules!
 
Kuna tofauti gani kati ya sheria ilivyo sasa kipengele (e) na kipengele hicho hicho kwenye nchi yenye lengo kweli la kupigana na rushwa?




Na kama kipengele hicho kingesomeka hivi:



[/FONT][/LEFT]

Kakipengele (e) kapo hapo kulinda yanayoitwa maslahi ya umma (public interests) kwa hiyo kesi nzito nzito lazima zipate consent ya dpp ambaye yuko answerable kwa Rais tu!
 
Back
Top Bottom