Kikosi cha JF Simba kitakachoipa kichapo kitakatifu kikosi cha JF Yanga

Simba-Linnea-Frank-Poster.jpg
 
Wewe jamaa siku ya mwisho utakwenda jehanamu moja kwa moja! Hakutakuwepo na Wakili yeyote Msomi wa kukutetea mbele ya Izraeli mtoa roho!

Yaaani umechukua matunguri yako ya uganga! Ukayapiga picha, halafu unakuja kusingizia eti ni ya Wananchi!!
Mimi ni peponi moja kwa moja
 
Magoli kipa.
Kalpana Nyamizi BRN

Walinzi wa kushoto.
mugah di matheo Van De Beek ChamasonMorisonBwalyason

Walinzi wa kulia.
PTER Luvanga1 Kingtox

Walinzi wa kati.
Viol Kifurukutu Poisonous OKW BOBAN SUNZU

Viungo wa chini.
SAGAI GALGANO Chen Hu denooJ

Mawinga wa kushoto.
@Kyalembe Rostema

Mawinga wa kulia.
Saint Ivuga NAWATAFUNA

Washambuliaji.
FORTALEZA Scars Utopologist Ghazwat

Kocha mkuu
Mightier , msaidizi wake Lee

Kiongozi wa kamati ya ushindi husda na roho mbaya ni Mshana Jr akisaidiwa na Mwizukulu jilala

Shusha maoni yako mfumo upi utaendana na hiki kikosi 4-4-2, 4-5-1 au mfumo upi?.
Shusha maoni yako nani aanze nani abaki kwenye kikosi?
Vipi benchi la ufundi liongezwe nguvu au tulipe muda wa matazamio?
Mchezaji yupi mwengine anafaa kuongeza nguvu kwenye hiki kikosi?
Nawasilisha.
Oya mm niwe ata muandazi basi ...upande wa Simba
 
Kumekucha ila hiyo list bila mimi ni batili haiwezekani Katibu mkuu wa kamati yaroho mbaya nikosekane

Nasemaje Bora Leo Simba tufungwe 10-0 na TPM
Kuliko utopolo wafunge hata moja huko kwa kina igweeeeeee

Hata sale wakose kabisa Utopolo
Utopolo Mbele na Nyuma wapigwe!

Simba Mbele daima Nyuma Mwiko!
 
Back
Top Bottom