waziri2020
Senior Member
- May 31, 2019
- 190
- 451
Kikongwe wa miaka 94 mkazi wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara Martha Kuzilwa amuangukia Mh Rais Magufuli kuingilia kati tena maisha yake Mara baada ya kutishiwa kifo na Mwenyekiti wa serikali ya kijiji wakishirikiana na mtendaji wa kata ya Nasinyai kumpora Ardhi yake na kuuza kwa nguvu kwa matajiri
Kikongwe uyu amesema Mwenyekiti wa kijiji kwa kushirikiana na mtendaji wa kijiji kwa pamoja wamemtaka kuachia shamba lenye ukubwa wa ekari 300 na kutafuta makazi mapya kwakua yeye sio mmasai ni mkabila wa kuja
Amesema mpaka sasa amesha tishiwa maisha na kunusurika kufa Mara baada ya kuvamiwa na Mwenyekiti akishirikiana na kamati ya serikali ya mtaa na wajumbe wake wote kumtishia maisha endapo ataondoka katika eno hilo.
''Nimenusurika kupigwa panga la uso na vijana ambao ni watoto wa Mwenyekiti wa kijiji chetu cha nasinyai wakilazimisha niondoke eneo hili namuomba Mh Rais anisaidie kwani Nina maisha magumu sana na Mimi ni mjane alisema Martha Kuzilwa kikongwe wa miaka 94
Mh Rais Magufuli alimaliza mgogoro huo na kuagiza kikongwe kupewa eneo hilo lakini mpaka sasa kumekua na sinto fahamu ya kupewa eneo lake na kumwomba Rais Magufuli kuingilia kati tena kwani sasa viongozi wa kijiji wanataka kukatiza Maisha yangu
Kikongwe uyu amesema Mwenyekiti wa kijiji kwa kushirikiana na mtendaji wa kijiji kwa pamoja wamemtaka kuachia shamba lenye ukubwa wa ekari 300 na kutafuta makazi mapya kwakua yeye sio mmasai ni mkabila wa kuja
Amesema mpaka sasa amesha tishiwa maisha na kunusurika kufa Mara baada ya kuvamiwa na Mwenyekiti akishirikiana na kamati ya serikali ya mtaa na wajumbe wake wote kumtishia maisha endapo ataondoka katika eno hilo.
''Nimenusurika kupigwa panga la uso na vijana ambao ni watoto wa Mwenyekiti wa kijiji chetu cha nasinyai wakilazimisha niondoke eneo hili namuomba Mh Rais anisaidie kwani Nina maisha magumu sana na Mimi ni mjane alisema Martha Kuzilwa kikongwe wa miaka 94
Mh Rais Magufuli alimaliza mgogoro huo na kuagiza kikongwe kupewa eneo hilo lakini mpaka sasa kumekua na sinto fahamu ya kupewa eneo lake na kumwomba Rais Magufuli kuingilia kati tena kwani sasa viongozi wa kijiji wanataka kukatiza Maisha yangu