Nenga
Member
- Sep 3, 2007
- 77
- 21
Nimekaa na kutafakari hivi vikombe vilivyo zuka si vya kutengenezwa na wale vijana wa Magogoni?
Ghafla zinazuka tu kama mvua za masika, au ni jeuri ya serikali ya CCM kufunika kombe mwana haramu apite. baada ya kukosa usingizi muda mrefu kwa style ya CHADEMA na MA ANDAMANO YAO KWA LENGO LA KUKIJENGA CHAMA?
wADAO nipeni mtazamo wenu.
Ghafla zinazuka tu kama mvua za masika, au ni jeuri ya serikali ya CCM kufunika kombe mwana haramu apite. baada ya kukosa usingizi muda mrefu kwa style ya CHADEMA na MA ANDAMANO YAO KWA LENGO LA KUKIJENGA CHAMA?
wADAO nipeni mtazamo wenu.