decomm
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 726
- 655
MBEYA VIJIJINI
Mwalimu 'mwenyeji' wa darasa la kwanza ameandika ubaoni:-
"Kikombe cha chai"
Mwalimu anawaambia wanafunzi:-
Mwalimu: 'wanafunzi somemi ubaoni'
Wanafunzi: 'Ikikombe kya kyai'
Mwl: 'Hapana siyo ikikombe kya kyai, semeni ikikombe kya kyai'
Mwl: 'Haya someni wote'
Wanafunzi: ' Ikikombe kya kyai'
Bahati nzuri kukawa na mwanafunzi mgeni aliyetoka mkoa mwingine. Akanyoosha kidole.
Mwl: 'Enhe wewe mwanfunzi mgeni unasemaje?'
Mwanafunzi: 'Samahani mwalimu, inatamkwa KIKOMBE CHA CHAI'
Mwl: 'Sawa kabisa, mmemsikia mwenzenu amesoma vizuri?'
Wanafunzi: 'Ndiyoooo'
Mwl: 'Enhe, someni wote'
Wanafunzi: 'Ikikombe kya kyai'
Mwl: 'Aaaargh! Siyo IKIKOMBE KYA KYAI, semeni ikikombe kya kyai!
Wanafunzi: 'Ikikombe kya kyai'
_____
Ulimi ukielemewa na lahaja, kutamka maneno ya lugha nyingine mara nyingi inakuwa si rahisi kutamka sawasawa.
decomm!
Mwalimu 'mwenyeji' wa darasa la kwanza ameandika ubaoni:-
"Kikombe cha chai"
Mwalimu anawaambia wanafunzi:-
Mwalimu: 'wanafunzi somemi ubaoni'
Wanafunzi: 'Ikikombe kya kyai'
Mwl: 'Hapana siyo ikikombe kya kyai, semeni ikikombe kya kyai'
Mwl: 'Haya someni wote'
Wanafunzi: ' Ikikombe kya kyai'
Bahati nzuri kukawa na mwanafunzi mgeni aliyetoka mkoa mwingine. Akanyoosha kidole.
Mwl: 'Enhe wewe mwanfunzi mgeni unasemaje?'
Mwanafunzi: 'Samahani mwalimu, inatamkwa KIKOMBE CHA CHAI'
Mwl: 'Sawa kabisa, mmemsikia mwenzenu amesoma vizuri?'
Wanafunzi: 'Ndiyoooo'
Mwl: 'Enhe, someni wote'
Wanafunzi: 'Ikikombe kya kyai'
Mwl: 'Aaaargh! Siyo IKIKOMBE KYA KYAI, semeni ikikombe kya kyai!
Wanafunzi: 'Ikikombe kya kyai'
_____
Ulimi ukielemewa na lahaja, kutamka maneno ya lugha nyingine mara nyingi inakuwa si rahisi kutamka sawasawa.
decomm!