Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
we mwongo babu amerushwa sana France 24,al jazeera ww uko machini siyo majuuMkuu wangu mbona hizi habari za babu na tiba yake hazijawahi kuzungumziwa hata siku moja huku majuu?...Nimekuwa nikitazama channel kibao, magazeti na kadhalika lakini sikuti habari nzuri inayozungumzia tiba ya babu na karibu mwaka sasa unayoyoma. Kama kweli maneno yako unaweza kutupa site yenye madai haya maanake kusema mgonjwa alishindikana Marekani ni rahisi ktk upakaji mafuta mgongo (Massage) kutulainisha.