Kiki ngumu sana mji huu muulize bingwa wao Diamond

utukufu mwanjisi

JF-Expert Member
Aug 19, 2017
2,826
2,411
Natoa angalizo tu asaiv ukihitaj Kiki kipind hiki lazima uongee na pierre mlamba alolo konki liquid mama nakufa itabaki kuwa juu. ..Ati nin
bila hivo utasubiri sana mana ndo aliyeshika hili jiji mana naona kada mwenzangu kaona sio tabu acha nitokee kupitia huyu bwana mana asaiv ni miezi mitatu ndo anaongoza upepo wa jiji uende vip full vituko mpaka joti,bwana mjeshi, tatu mtigita, ebitoke na mwalubadu wanawaza wamtaje ndo ngoma iende insta....
aisee pierre mimi ni mmoja wa watu ambao wanayatafuta maisha kwa nguvu zote na kufika hata ulipofika mpaka makamu wa rais kulitaja jina pale ikulu kuwa na Legacy fulan hiyo inatosha sana hata ukifa leo ushaandikwa Wikipedia tayar nikienda google naukuta wasifu wako ko umemaliza zaidi piga kazi kumalizia gap lililobak kaka mungu akusimamie
mama-nakufa-Audio.jpg
hqdefault.jpg
54512156_313091756075614_1070646573712902982_n.jpg
images%20(3).jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona hivyo ujue wanaochagua viongozi ni wapiga gambe kwani Uganda the cranes alilala kwa nguvu zao na hata kule Uingereza viongozi wa Leicester city wametangaza leo wakishinda ni mashabiki kunywa buree

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona hivyo ujue wanaochagua viongozi ni wapiga gambe kwani Uganda the cranes alilala kwa nguvu zao na hata kule Uingereza viongozi wa Leicester city wametangaza leo wakishinda ni mashabiki kunywa buree

Sent using Jamii Forums mobile app
Leicester city ladies au juniors maana walio epl walicheza jana

Sent using Brain
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom