KIKI KUBUMA : Musiba sasa naona anajidhalilisha ,Hebu wakuu angalieni hapa

The only

JF-Expert Member
May 19, 2011
10,433
13,414
Ni lini utakubali kwamba ulichelewa kujipendekeza ,na ukweli kuwa wamekuwahi ,kwanini unatumia njia walioitumia wale wale kwa njia inayofahamika ,ukitegemea the same.kaka kufanikiwa huja na kufanya mambo kikweli jielimishe vizuri fanya siasa safi utaonekana tu ,lakini ni wazi hata Mh Kama anataka akuteue anaona aibu ,hata angekusifia basi mahali,umebaki kuwa kituko maana hii nini hata mtoto wa la pili atasema ,MUSIBA SIO KWAMBA ANAMPENDA RAISI ,BALI ANADHANI RAISI HUCHAGUA WATU WANAOMSIFIA
 

Attachments

  • 56451796_271633940409704_2658729273283575808_n.mp4
    6.9 MB · Views: 138
Ni lini utakubali kwamba ulichelewa kujipendekeza ,na ukweli kuwa wamekuwahi ,kwanini unatumia njia walioitumia wale wale kwa njia inayofahamika ,ukitegemea the same.kaka kufanikiwa huja na kufanya mambo kikweli jielimishe vizuri fanya siasa safi utaonekana tu ,lakini ni wazi hata Mh Kama anataka akuteue anaona aibu ,hata angekusifia basi mahali,umebaki kuwa kituko maana hii nini hata mtoto wa la pili atasema ,MUSIBA SIO KWAMBA ANAMPENDA RAISI ,BALI ANADHANI RAISI HUCHAGUA WATU WANAOMSIFIA

Hata shetani aliumbwa na kuletwa na Mungu.
 
mwenzako hata kama hawamsifii hadharani wamempa harrier na kiji jarida uchwara kinachokula matangazo ya milioni 100 za ATCL, kikwete alilimlipia mahari leo anamkandia kikwete vibaya mno, hapa majuzi jokate alivyokuwa amechaguliwa uvccm huyo jamaa alikuwa anampinga kila siku leo anajifanya anamshangilia,subiri utawala huu uondoke utasikia atakavyobadili gear angani
kabwabwaja kuhusu membe, kufika mahakamani anaomba apewe muda wa kujiandaa kujibu mashataka..IDIOT kabisa,imbecile,nicompoop.
 
Ni lini utakubali kwamba ulichelewa kujipendekeza ,na ukweli kuwa wamekuwahi ,kwanini unatumia njia walioitumia wale wale kwa njia inayofahamika ,ukitegemea the same.kaka kufanikiwa huja na kufanya mambo kikweli jielimishe vizuri fanya siasa safi utaonekana tu ,lakini ni wazi hata Mh Kama anataka akuteue anaona aibu ,hata angekusifia basi mahali,umebaki kuwa kituko maana hii nini hata mtoto wa la pili atasema ,MUSIBA SIO KWAMBA ANAMPENDA RAISI ,BALI ANADHANI RAISI HUCHAGUA WATU WANAOMSIFIA
Nje kidogo ya mada.....hivi alishaenda kupimwa marinda????
 
Back
Top Bottom