The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,414
Ni lini utakubali kwamba ulichelewa kujipendekeza ,na ukweli kuwa wamekuwahi ,kwanini unatumia njia walioitumia wale wale kwa njia inayofahamika ,ukitegemea the same.kaka kufanikiwa huja na kufanya mambo kikweli jielimishe vizuri fanya siasa safi utaonekana tu ,lakini ni wazi hata Mh Kama anataka akuteue anaona aibu ,hata angekusifia basi mahali,umebaki kuwa kituko maana hii nini hata mtoto wa la pili atasema ,MUSIBA SIO KWAMBA ANAMPENDA RAISI ,BALI ANADHANI RAISI HUCHAGUA WATU WANAOMSIFIA