Kikatiba ni nani mwenye jukumu la kuomba Mikopo kwa ajili ya Nchi Yetu?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,326
217,348
Ni Rais wa nchi, Waziri Mkuu, Waziri wa fedha, Gavana wa Benki Kuu, Bunge, Spika, Lwajabe au ni nani hasa?

Na je anapoamua kukopa anakuwa ameshauriwa na nani au anaamua tu yeye mwenyewe kwa matakwa yake? Na je hivi bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kupitia nyaraka ama sababu za mikopo tunayokopa kama nchi?

Kwamba yuko mtu au kikundi cha watu kinaweza kuamua tu kukopa bila idhini ya yoyote kwa lengo la kutimiza malengo yao lakini mzigo wabebeshwe wananchi?

Majibu ya maswali haya yanaweza kutusaidia kujua sarakasi za Spika wa Bunge na Uongozi wa nchi.
 
Miaka 60 ya uhuru Tanzania inakopa kujenga madarasa, si vituko hivi?

Mimi niko na Ndugai, Hagaya anachukua mikopo mikubwa isiyoleweka.

Hagaya akimaliza muda wake atarudi kwao Zanzibar, atatuachia matatizo sisi Watanganyika.

Ndani ya miezi 9 Hagaya amekopa karibu Trillioni 10,
20211229_190124.jpg
 
Hawa ndugu zangu CCM wanatuona sisi mazuzu angalia tu njia waliyo ingia nayo madarakani karibia wote walipitishwa tu,, na sasa wanafanya wanavyojua wenyewe,,
 
Ni Rais wa nchi, Waziri Mkuu, Waziri wa fedha, Gavana wa Benki Kuu, Bunge, Spika, Lwajabe au ni nani hasa?

Na je anapoamua kukopa anakuwa ameshauriwa na nani au anaamua tu yeye mwenyewe kwa matakwa yake? Na je hivi bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kupitia nyaraka ama sababu za mikopo tunayokopa kama nchi?

Kwamba yuko mtu au kikundi cha watu kinaweza kuamua tu kukopa bila idhini ya yoyote kwa lengo la kutimiza malengo yao lakini mzigo wabebeshwe wananchi?

Majibu ya maswali haya yanaweza kutusaidia kujua sarakasi za Spika wa Bunge na Uongozi wa nchi.

076CC92D-1719-4B66-B3A6-71DD24437236.jpeg
 
Ni Rais wa nchi, Waziri Mkuu, Waziri wa fedha, Gavana wa Benki Kuu, Bunge, Spika, Lwajabe au ni nani hasa?

Na je anapoamua kukopa anakuwa ameshauriwa na nani au anaamua tu yeye mwenyewe kwa matakwa yake? Na je hivi bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kupitia nyaraka ama sababu za mikopo tunayokopa kama nchi?

Kwamba yuko mtu au kikundi cha watu kinaweza kuamua tu kukopa bila idhini ya yoyote kwa lengo la kutimiza malengo yao lakini mzigo wabebeshwe wananchi?

Majibu ya maswali haya yanaweza kutusaidia kujua sarakasi za Spika wa Bunge na Uongozi wa nchi.
Kama hadi leo hii hujui nani mwenye jukumu la Kukopa wewe ni bogus ,eti ndio michadema hii inataka kwenda Ikulu 😃😃..aisee mtaishia Ikulu ya ufipa.
 
Back
Top Bottom