Kikao Kizito: Rais Samia akutana na Makamu wake Dkt. Philip Mpango na Gavana wa BoT, Prof. Luoga

Dr. Kimei fits for the post of BOT Governor; and had Philly not been in the current position, Kimei would have also fitted as an Economic Adviser to the President.
Who needs Dr. Kimei's CRDB modus operandi to be replicated at B.O.T - Ubunge unamtosha au uboard member na hiyo si lazima - Taifa letu liachane na hizi tabia zilizo anza kujengeka tangu awamu ya nne/tano za ku-entertain some sort of ruling class cligue .
 
Maandalizi za kuficha ripoti ya uchunguzi wa CAG na TAKUKURU pale BoT. Maana taarifa za ndani zinaonyesha Makamu wa Rais na Gavana wapo kwenye hiyo scandal.

Yaani uwaagize watu wachunguze report ambayo wewe umepiga hela. Tena uwaagize public. Vitu vingine tuache uongo
 
Kwani wakati anakula ruzuku yule mungu mtu wenu aka dikteta uchwara alikuwa hamuoni!?
Kwahiyo kama mungu mtu amepiga (kwa mujibu wa maneno yako) unaona ni halali na viongozi wa upinzani nao wapige si ndio? Kwa mantiki hiyo unafikiri kuna faida gani ya kuwa na vyama vya upinzani ambavyo vinatuongezea mzigo wa upigaji!!
 
Mkuu, analogy yako sio nzuri sana. Governor sio driver per se. Yeye ni mwezeshaji na mratibu wa shughuli za drivers wa aina zote katika taasisi yake. Ni mbeba maono anayepaswa kuwapanga drivers wake ili hatimaye wayatafisri maono yake kwa vitendo.

Ingawa ni kawaida kwa central bank governor kuwa mchumi, sio lazima iwe hivyo. Governor ana wataalam wa kila aina. Kinachohitajika ni uongozi; yeye kuwa kiongozi mzuri na mwenye maono. Mchumi mzuri ambaye sio kiongozi mzuri hawezi kuwa governor mzuri.

Hata kwenye level ya nchi mambo yako hivyo hivyo. Rais anaweza kuwa mbobezi katika military science tu, lakini akaipaisha nchi yake katika nyanja zote muhimu, kwa sababu ya uongozi wake mzuri na wenye maono!
4
 
Hapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuya.

Chadema wana kipaji cha ujinga
Ccm wanakipaji cha nini? Raisi yupo fiti mnataka mumuone kariakoo? Kumbe yupo.....
 
Who needs Dr. Kimei's CRDB modus operandi to be replicated at B.O.T - Ubunge unamtosha au uboard member na hiyo si lazima - Taifa letu liachane na hizi tabia zilizo anza kujengeka tangu awamu ya nne/tano za ku-entertain some sort of ruling class cligue .
Who said it's a must !!!??? SOB !!!!
 
Back
Top Bottom