Ok boss, tusubiri.Tusubiri report Mkuu. Mleta mada anasema tuendelee na mtori, nyama ziko chini.
Ok boss, tusubiri.Tusubiri report Mkuu. Mleta mada anasema tuendelee na mtori, nyama ziko chini.
Who needs Dr. Kimei's CRDB modus operandi to be replicated at B.O.T - Ubunge unamtosha au uboard member na hiyo si lazima - Taifa letu liachane na hizi tabia zilizo anza kujengeka tangu awamu ya nne/tano za ku-entertain some sort of ruling class cligue .Dr. Kimei fits for the post of BOT Governor; and had Philly not been in the current position, Kimei would have also fitted as an Economic Adviser to the President.
Maandalizi za kuficha ripoti ya uchunguzi wa CAG na TAKUKURU pale BoT. Maana taarifa za ndani zinaonyesha Makamu wa Rais na Gavana wapo kwenye hiyo scandal.
Kwahiyo kama mungu mtu amepiga (kwa mujibu wa maneno yako) unaona ni halali na viongozi wa upinzani nao wapige si ndio? Kwa mantiki hiyo unafikiri kuna faida gani ya kuwa na vyama vya upinzani ambavyo vinatuongezea mzigo wa upigaji!!Kwani wakati anakula ruzuku yule mungu mtu wenu aka dikteta uchwara alikuwa hamuoni!?
4Mkuu, analogy yako sio nzuri sana. Governor sio driver per se. Yeye ni mwezeshaji na mratibu wa shughuli za drivers wa aina zote katika taasisi yake. Ni mbeba maono anayepaswa kuwapanga drivers wake ili hatimaye wayatafisri maono yake kwa vitendo.
Ingawa ni kawaida kwa central bank governor kuwa mchumi, sio lazima iwe hivyo. Governor ana wataalam wa kila aina. Kinachohitajika ni uongozi; yeye kuwa kiongozi mzuri na mwenye maono. Mchumi mzuri ambaye sio kiongozi mzuri hawezi kuwa governor mzuri.
Hata kwenye level ya nchi mambo yako hivyo hivyo. Rais anaweza kuwa mbobezi katika military science tu, lakini akaipaisha nchi yake katika nyanja zote muhimu, kwa sababu ya uongozi wake mzuri na wenye maono!
Ccm wanakipaji cha nini? Raisi yupo fiti mnataka mumuone kariakoo? Kumbe yupo.....Hapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuya.
Chadema wana kipaji cha ujinga
Eee mwenyeezi mungu naomba utupe mwisho mwema na usio na masimango.Alale peponi wapi, yule mwenye bichwa lililojaa ubaya, anakula "vitasa" huko Jehanamu.
Who said it's a must !!!??? SOB !!!!Who needs Dr. Kimei's CRDB modus operandi to be replicated at B.O.T - Ubunge unamtosha au uboard member na hiyo si lazima - Taifa letu liachane na hizi tabia zilizo anza kujengeka tangu awamu ya nne/tano za ku-entertain some sort of ruling class cligue .