Kikao cha Pamoja, Dr slaa (Chadema) na Sam Ruhuza (NCCR) now!

sasa chadema inaenda kufa rasmi kabla ya 2015!!mbatia can never be trusted,...kama moja ya makubaliano ni kufuta kesi ya kawe,mimi napinga,huwezi kuua chama kizima kwa jimbo moja..kwani mdee kashajua kuwa atashindwa kesi?

nadhani hatujui wameongea nini, sasa kama moja ya hoja katika makubariano ni kufuta kesi sawa, la kushirikiana ni kama kuachiana majimbo pale ambapo chama fulani kina nguvu, NCCR walitaka wachiwe jimbo la kawe, cdm walikataa, maana usidhani harakati za Mh. mdee pale zilianza wakati wa kuchukua form tu, alifanya utafiti na akajua anakubalika pale, sasa mbatia nae akaja bila utafiti wowote, kwa hiyo yako ya kushirikia kama vyama vya upinzani
 
Bado hajaingia yule wa kusema vyama vya Wachagga ma Wakatoliki vinataka kuungana?

Tehe tehe tehe!!!
 
i smell something fishy over this cooperation...this won't work out in the long run..ccm wamefanikiwa kujipenyeza chadema if all this is true...
 
CUF,CUF mko wapi rafiki zetu msifungwe nira nawasio amini,njoon kwa pamoja tuikombe nchi kutoka kwa majangili..mtalia na kusaga meno cku 1.
 
Muasisi wa NCCR, Mabere Marando alianza kuona CDM ndicho chama cha ukombozi mpya wa Tz, akijiunga nasi miaka michache iliyopita. WaTz wote wenye mwelekeo wa mabadiliko ya kweli na wanaonuia kwa uzalendo kutatua matatizo ya taifa letu, watuunge mkono.
 
Maana yake ni kwamba baada ya majadiliano ya kina na ya dhati ndani ya vyama vyao, leo wameafikiana kwa maandashi? Ni mambo gani hayo!
 
Nimepata taarifa kuwa Katibu mkuu wa CHADEMA Dr Slaa anaelekea kwenye ofisi za NCCR mageuzi kwa mazungumzo na katibu mwenzake Sam Ruhuza. Nafuatilia kujua kipi kinazungumzwa kati ya makatibu hao wawili then nitawaletea hapa jamvini soon!

Updates:

Taarifa ni kwamba CHADEMA na NCCR wamekubaliana kuungana na kusameheana katika kila jambo walilowahi kutendeana na wamekubaliana kushirikiana kuanzia sasa. Katika makubaliano hayo Mbatia amefuta kesi ya uchaguzi dhidi ya Halima Mdee kesi namba 101 ya mwaka 2010. Kuanzia sasa wamekubaliana kufanya kazi kwa ushirikiano kwa lengo la kuimarisha upinzani na kuhakikisha CCM inang'oka mwaka 2015. Makubaliano hayo yamesainiwa na DR Slaa na Sam Ruhuza katika ofisi za NCCR Mageuzi dakika chache zilizopita.

Tatizo la NCCR na CHADEMA siku zote ni biff za kitoto za wenyeviti wa vyama hivyo ambazo wanatoka nazo uchagani na kuzileta mpaka mjini,si vinginevyo,hivyo Slaa na Sam kama hawajalijua hilo watakuwa wanatwanga maji kwenye kinu,Sam anajua nimeshawahi kuzungumza nae kuhusu hili na yeye ndio akasema tatizo ni mbowe anamchukia sana James kwa kuwa anaamini james ana akili kumzidi hivyo wakiungana atamfunika,na kuna issue zao za uchaguzi wa ubunge huko nyuma maeneo ya kwao uchagani huko ambako mmoja kati yao alimsaliti mwenzake!
 
Tatizo la NCCR na CHADEMA siku zote ni biff za kitoto za wenyeviti wa vyama hivyo ambazo wanatoka nazo uchagani na kuzileta mpaka mjini,si vinginevyo,hivyo Slaa na Sam kama hawajalijua hilo watakuwa wanatwanga maji kwenye kinu,Sam anajua nimeshawahi kuzungumza nae kuhusu hili na yeye ndio akasema tatizo ni mbowe anamchukia sana James kwa kuwa anaamini james ana akili kumzidi hivyo wakiungana atamfunika,na kuna issue zao za uchaguzi wa ubunge huko nyuma maeneo ya kwao uchagani huko ambako mmoja kati yao alimsaliti mwenzake!

mbona we huna akili kama kuku! MBATIA ANA AKILI GANI KUMZIDI MBOWE?
 
i smell something fishy over this cooperation...this won't work out in the long run..ccm wamefanikiwa kujipenyeza chadema if all this is true...
jamii forums sio sehemu ya kupoteza muda ukiwa umechoka tu,Pia ni sehemu ambamo watu hutafuta wake na waume...

Signature yako hii KIBOKO!

 
great....remember nccr is the next great opp part! dr washike wote kasoro dovutwa fahmi dovutwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom