cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
nadhani wageni waalikwa waanze na uji wa kungu kama starter, mwenyekiti umelionaje hili?? Nitaleta mapipa ya uji wa kungu, tena kungu la comoro, wakwe, mpaka makuhani wote jicho lege! Chezeiya kungu weye???mamie kipenzi wns anahusikaje hapa, me nimemkubalia mtotosix ndo mume mtarajiwa. Wns nae alinitaka uchumba bt sikuwa tayari. Plz shika zamu yako ktk kamati ya chakula. . .