kikao cha mwenyekiti wa ccm na wabunge wake

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
http://www.blogger.com/share-post.g...894691&postID=6442059387692189439&target=buzz


Feb 11

[h=1]Taswira Mbalimbali Za Mkutano Wa Rais Jakaya Kikwete na Wabunge Wa CCM Mjini Dodoma[/h]

Written by haki | // 0 comments

c13.jpg

Meza kuu kabla ya kuanza kikao
1.jpg
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasili ukumbini kuzungumza na wabunge wa CCM katika kikao chake na wabunge hao kilichofanyika jana jioni Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma.Wengine kutoka kushoto ni Spika wa Bunge Anne Makinda, Katibu wa Wabunge wa CCM, Jenista Mhagama na Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Pius Msekwa

c14.jpg

c12.jpg

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali, Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Pius Msekwa na Katibu Mkuu Wilson Mkama wakimsikiliza Mwenyekiti ya Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Peramiho, Mh Jenista Mhagama akiongea kabla ya kikao kuanza
3.jpg
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akisisitiza jambo wakati alipozungumza na Wabunge wa CCM, katika kikao chake na wabunge hao jana katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. Kushoto ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Pius Msekwa.

5.JPG

Mbunge wa Simanjoro Ole Sendeka akitoa hoja zake katika kikao hicho.
Saidi+Mkumba.jpg
Pia Said Mkub a akazungumza kwa kina kutoa mchango wake ili kuboresha mambo
c17.jpg

c18.jpg

c16.jpg

c1.jpg

Sehemu ya wabunge wa CCM
c10.jpg

Wabunge wa CCM wakiwa mkutanoni White House
c11.jpg

Mkutano ukiendelea.Picha na IKULU
 
Picha sawa lakini nini kilijiri?kwa anaejua anisaidie mwenzenu sijapata habari kabisa
 
Back
Top Bottom