AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,033
Kulitakiwa kuwa na Kikao Cha Mh Kikwete kukutana na Watanzania waishio South Africa. Mkutano ulitakiwa kufanyika Sheraton Hotel, Pretoria saa 12 za Jioni. Nimesikitika sana kuhairishwa huo mkutano, ilikuwa nafasi yangu ya kuuliza maswali yalio moyoni mwangu kuhusu Taifa.