Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,556
- 29,642
Wakuu,
Leo wadau wa sanaa tyumestukizwa kwa kuitwa kwenye kikao baina ya Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii na Wadau wa sanaa nchini....
Mwenyeji wetu ni Naibu Waziri wa Utamaduni, Habari na Michezo...
Venue ni BASATA (Baraza la Sanaa la Taifa)
Kikao ndo kimeanza....`
Mada kuu ni masuala yanayohusu HAKIMILIKI NA HAKISHIRIKI...
Leo wadau wa sanaa tyumestukizwa kwa kuitwa kwenye kikao baina ya Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii na Wadau wa sanaa nchini....
Mwenyeji wetu ni Naibu Waziri wa Utamaduni, Habari na Michezo...
Venue ni BASATA (Baraza la Sanaa la Taifa)
Kikao ndo kimeanza....`
Mada kuu ni masuala yanayohusu HAKIMILIKI NA HAKISHIRIKI...