APARATIE
Member
- Dec 23, 2013
- 93
- 23
Wajumbe wote washirki katka kikao hiki ambao ni wenyeviti wa mikoa yote 25 ya tanzania bar (tanganyika),hoja zikiwa ni taarifa za maendeleo ya kila mkoa, changamoto na matatizo mbalimbali yanayowakabiri wadau wa sekta binafsi, Akifungua kikao hicho Rais wa TCCIA taifa Eng. Peter Chisawilo ameweka wazi umhimu wa viongozi wa mikoa kufanya kazi ya kuwatetea wafanyabiashara,wakulima na wamiliki wa viwanda, kero kubwa iliyojitokeza ni MASHINE ZA EFD, kodi kubwa zisizoeleweka, kwa wafanyabiasha.