Kikao cha JE Saccos

The Finest

JF-Expert Member
Jul 14, 2010
21,605
6,071
Tunapenda kuwafahamisha wanachama wote wa JE SACCOS kuwa tutakuwa na kikao JUMAMOSI hii ya tarehe 17-09-2011kitakachofanyika HONGERA BAR barabara ya Shekilango karibia na CHUO CHA USTAWI WA JAMII kuanzia saa 9 mchana na kuendelea tunaombwa wote kufika bila kukosa hasa kwa wanachama wa JE SACCOS waliopo Dar es Salaam.

Dhumuni la kikao ni kufanya tathmini ya tulipofikia na kuangalia na jinsi gani tunaweza kufikia lengo la milioni tano kwa wakati muafaka tunaomba wanachama wote tujitahidi kufika bila kukosa.

Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana nasi kupitia namba zifuatazo

0713 887912
0757 212122
0787 212122


Asanteni.
 
mkuu natamani kuwepo lakini hili jinamizi la ajali ya meli...
Mmmh halafu huwezi kuna boti nyingine ilikuwa inakuja Dar imezima ghafula wakati ikiendelea na safari. Mchana wa leo
 
mkuu natamani kuwepo lakini hili jinamizi la ajali ya meli...
Mmmh halafu huwezi kuna boti nyingine ilikuwa inakuja Dar imezima ghafula wakati ikiendelea na safari. Mchana wa leo

.....Ya kweli haya??
 
mkuu natamani kuwepo lakini hili jinamizi la ajali ya meli...
Mmmh halafu huwezi kuna boti nyingine ilikuwa inakuja Dar imezima ghafula wakati ikiendelea na safari. Mchana wa leo
Dah!! Pole Sana Mkuu
 
Back
Top Bottom