ISSA SHARAFI
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 407
- 75
Wanajf habari zenu
Naamini kabisa mambo mengi yamezungumzwa na yanazidi kuzungumzwa juu ya kwann tunashindwa kufikia maendeleo ya taifa kwa ujumla......nilichogundua mm japo wataalamu wengi wameongea mengi ni ukosefu wa usimamizi uliobora kwa ile mipango na sera tulizoziweka ndio kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya taifa letu. Ucmamizi huo mbovu unatokana na kuwa na viongozi wanaojisahau pindi wanapopewa majukumu hayo....... Je nn kifanyike ili tuwe na usimamizi mathubuti ktk kuhakikisha tunaleta tija kutokana na sera tulizonazo kwn hata kma tutachukua sera ubepari na kuitumia ktk nchi yetu kamwe hattwez kuendelea kwakuwa na wasimamizi wabovu wa itikadi hyo
Japo ni kwa ufupi naomba mawazo yenu......
Naamini kabisa mambo mengi yamezungumzwa na yanazidi kuzungumzwa juu ya kwann tunashindwa kufikia maendeleo ya taifa kwa ujumla......nilichogundua mm japo wataalamu wengi wameongea mengi ni ukosefu wa usimamizi uliobora kwa ile mipango na sera tulizoziweka ndio kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya taifa letu. Ucmamizi huo mbovu unatokana na kuwa na viongozi wanaojisahau pindi wanapopewa majukumu hayo....... Je nn kifanyike ili tuwe na usimamizi mathubuti ktk kuhakikisha tunaleta tija kutokana na sera tulizonazo kwn hata kma tutachukua sera ubepari na kuitumia ktk nchi yetu kamwe hattwez kuendelea kwakuwa na wasimamizi wabovu wa itikadi hyo
Japo ni kwa ufupi naomba mawazo yenu......