Ni chama cha siasa hapa Tanzania chenye sifa za kipekee
1. kina M/kiti Taifa lakini Hakina Makamu wake
2. Kina Katibu wake Taifa lakini Hakina Katibu msaidizi
3. Kina M/kiti wa Vijana lakini hakina Makamu wake
4. Kina Makamu M/kiti wanawake taifa hakina M/kiti wake
5. Kina M/kiti wazee taifa hakina Makamu wake
Kwa mtazamo huu chama kina kuwa au kina kufa kama jibu lako ni NDIYO/HAPANA toa sababu ya kukuwa au kufa kutegemeana na jibu lako.
1. kina M/kiti Taifa lakini Hakina Makamu wake
2. Kina Katibu wake Taifa lakini Hakina Katibu msaidizi
3. Kina M/kiti wa Vijana lakini hakina Makamu wake
4. Kina Makamu M/kiti wanawake taifa hakina M/kiti wake
5. Kina M/kiti wazee taifa hakina Makamu wake
Kwa mtazamo huu chama kina kuwa au kina kufa kama jibu lako ni NDIYO/HAPANA toa sababu ya kukuwa au kufa kutegemeana na jibu lako.