Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Kwa Nini mtu aondoke madarakani taasisi inyong'onyee? TAMWa, TLS na taasisi nyingine zinazitetea haki Tanzania zinakufa taratibu kwa kukosa watu wanaoweza kuyaona matatizo ya wananchi kwa upana nakuyatatua.
Kama taasisi hizi za haki za binadamu zimebaki kulipana mishahara nakukaa ofisini bila kutekeleza majukumu yake kwanini wafadhili wasisitishe misaada dhidi yao kwa sababu wanatumia fedha hizo kinyume na malengo?
Wakina Kijobi Simba, Nkya na Karume waliwezaje kutetea wananchi adharani mara tu uvunjifu wa haki unapotendeka? Kwanini viongozi wa Sasa wanashindwa? Mawakili wanaonewa TLS wapo kimya, wananchi wananyanyashwa Wapo kimya, wanasubiri siku wanyanyaswe wao viongozi?
Kama taasisi hizi za haki za binadamu zimebaki kulipana mishahara nakukaa ofisini bila kutekeleza majukumu yake kwanini wafadhili wasisitishe misaada dhidi yao kwa sababu wanatumia fedha hizo kinyume na malengo?
Wakina Kijobi Simba, Nkya na Karume waliwezaje kutetea wananchi adharani mara tu uvunjifu wa haki unapotendeka? Kwanini viongozi wa Sasa wanashindwa? Mawakili wanaonewa TLS wapo kimya, wananchi wananyanyashwa Wapo kimya, wanasubiri siku wanyanyaswe wao viongozi?