unajua maana ya kijiji?....huu umasikini huu....Kijiji?Mbona hakuna hata nyumba ya nyasi?Elimu bure, afya bure daaaah aisee natamani iwe kwetu mweh
Mkuu huku kwetu unaposafiri ukiona nyumba za nyasi ni dalili tosha kuwa unaingia kijijini. Daaah sijui kwetu itatokea lini?unajua maana ya kijiji?....huu umasikini huu....
nimebahatika kufika pale hamidu city kigamboni,kiukweli jamaa kajitahidi sana.hii sio ile HAMIDU CITY YA KIGAMBONI hahahha