Kijiji Tajiri zaidi Duniani

kadoda11

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
21,453
20,712
da12bf5d190b019040ab3692608bcef3.jpg
f35bbf3f78427f4669244d47412beb81.jpg
ed1aa8f623c62ee19c6b4bb39d78bca2.jpg


 
Wachina wana maamuzi!! wanavyofanana sura vile bado wanajenga nyumba za kufanana!!!
 
hii sio ile HAMIDU CITY YA KIGAMBONI hahahha
nimebahatika kufika pale hamidu city kigamboni,kiukweli jamaa kajitahidi sana.

imagine hamidu aliishia standard seven lakini kapiga hatua kubwa kubwa sana kimaendekeo.

ilhali maprofesa na wasomi wetu magwiji waliobobea ktk nyanja mbalimbali za academia,legacy yao kubwa inayowapa umaarufu nchini ni kujihususha kwao ktk mivutano inayo husiana na masuala ya kisiasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom