Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Kijiji cha Mkata wilayani Handeni mkoani Tanga, kimearifiwa kuuzwa kwa mwekezaji.Hatua hiyo imeelezwa kuwa itaathiri zaidi ya kaya 2000 katika kijiji hicho.
Hatua hiyo imeonekana kuwashangaza wakazi wa kijiji hicho kwani wameonekana kutoelewa nini kinachoendelea.ITV imewahoji wakazi wa kijiji hicho ambao wameeleza kushangazwa na upimaji wa ardhi uliokuwa unaendelea kijijini kwao.
CHANZO:ITV
MY TAKE:
Kama wameanza kuuza vijji na wakazi wake,ipo siku watauza nchii kwa wageni.
"Mbili huanza na moja".
Hatua hiyo imeonekana kuwashangaza wakazi wa kijiji hicho kwani wameonekana kutoelewa nini kinachoendelea.ITV imewahoji wakazi wa kijiji hicho ambao wameeleza kushangazwa na upimaji wa ardhi uliokuwa unaendelea kijijini kwao.
CHANZO:ITV
MY TAKE:
Kama wameanza kuuza vijji na wakazi wake,ipo siku watauza nchii kwa wageni.
"Mbili huanza na moja".