Kijiji cha Ng'ombe - Misungwi, Mwanza: Mwenyekiti wa kijiji (viti maalumu - CCM) akataliwa na wanakijiji

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Wananchi wa kijiji cha Ng'ombe wilayani Misungwi mkoani Mwanza wamemkataa Mwenyekiti wa Serikali za Mitaa, Zakayo Magongo aliyepita bila kupingwa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa serikali za mitaa huku wakimtuhumu kwa kuchochea ugomvi na kukosa ushirikiano na wananchi.
 
Hahahaaa mzee Sumaye njoo huku..

Nyumbu ni nyumbu tu
Wananchi wa kijiji cha Ng'ombe wilayani Misungwi mkoani Mwanza wamemkataa mwenyekiti wa serikali za mitaa, Zakayo Magongo aliyepita bila kupingwa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa serikali za mitaa huku wakimtuhumu kwa kuchochea ugomvi na kukosa ushirikiano na wananchi.
 
Wananchi wa kijiji cha Ng'ombe wilayani Misungwi mkoani Mwanza wamemkataa Mwenyekiti wa serikali za mitaa, Zakayo Magongo aliyepita bila kupingwa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa serikali za mitaa huku wakimtuhumu kwa kuchochea ugomvi na kukosa ushirikiano na wananchi.
Kwa udhalimu huu walioufanya hawa CCM, hakika hasira za Mungu zitawashukia kwa nguvu sana
 
Wananchi wa kijiji cha Ng'ombe wilayani Misungwi mkoani Mwanza wamemkataa Mwenyekiti wa serikali za mitaa, Zakayo Magongo aliyepita bila kupingwa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa serikali za mitaa huku wakimtuhumu kwa kuchochea ugomvi na kukosa ushirikiano na wananchi.
Wanamkataa kwa kutumia vifungu gani vya sheria?!
 
Hiyo ipo. Inategemea kama ana sifa na uadilifu
Alishindwa kwenye kura za maoni ya chama alipata kura 176 na mshindi alipata kura 387 na akatangazwa mshindi kwenye shina ilo ila ccm wilayani wakarudisha jina la mwenyekiti aliyepata kura chache
 
Wananchi wawakatae wote waliopita bila kupingwa. Au wale waliopitishwa na serikali ya CCM bila kupingwa wajiuzulu wenyewe kwani ni aibu kuitwa kuwa ulipitishwa kwa njia haramu bila kupingwa.

Ni aibu mtu mzima una sifa za kiuongozi kabisa halafu unasikia eti umepitishwa na serikali ya CCM bila kupingwa. CCM mtawaua viongozi wenu kwa ujinga mnaowafanyia.

Hapa kuna watu wanakubalika kabisa lakini kwa kigezo cha kulazimishwa kupitishwa bila kupingwa tayari wanaonekana viongozi haramu.
 
Mjini hakuna kijiji! Nimezungumzia kijiji na taarifa ilikuepo humu! Haya endelea kubisha
Chadema haina nafasi hiyo mikoa hasa mwanza. Endeeni kujifariji. Kumkataa huyo haimaanishi waliitaka chadema. Big noooo
 
Chadema haina nafasi mwanza. Na hata mbeya ukitoa mjini chadema haina nafasi..hivyo usijifariji
Endelea kujifariji. Rungwe mpaka leo Sauli anajua fika Hakupita ili alipitishwa. Ndiyo maana Uhasama upo miongoni mwa wana Jamii.
 
Back
Top Bottom