Kijasusi tunajifunza nini kuchapwa kofi kwa Rais wa Ufaransa?

Hv George W Bush alipigwa kiatu mara mbili!!??
angalia picha kwa makini....
mara ya kwanza alikwepa.....!
mara ya pili alikwepa pia huku mwenzake akimsaidia
Ni Mara mbili angalia baada ya kurusha cha kwanza jamaa akainama kuchukua kingine akakirusha pia
 
Bora hata huyo anakimbia hovyo hovyo, Tanzania tulikuwa na mduanzi mmoja yeye badala ya kukimbia hovyo alikuwa anakula mahindi ya kuchoma hovyo hovyo na kutukana mama zetu hovyo hovyo eti wanataka kupanuliwa wapi, amekufa na mavi
The same way wazazi wako walivokufa?
 
Bora hata huyo anakimbia hovyo hovyo, Tanzania tulikuwa na mduanzi mmoja yeye badala ya kukimbia hovyo alikuwa anakula mahindi ya kuchoma hovyo hovyo na kutukana mama zetu hovyo hovyo eti wanataka kupanuliwa wapi, amekufa na mavi yake sasa hivi
The same damn way wazazi wako walivokufa? Ama wewe ukifa kinyesi chako kita dissolve eee
 
The same damn way wazazi wako walivokufa? Ama wewe ukifa kinyesi chako kita dissolve eee
Tukikuwa na rais wa hovyo muwaza ngono, anakashifu wanawake hovyo hovyo, hana kauli za staha, bora alivyoenda kaburini na mavi yake kama alivyomjibu yule kijana pale Dsm kwamba abaki na mavi yake.
Meko wa kuzimu
 
Huyu Yeriko Nyerere ni kanjanja tu! Hana anachojua kuhusu ulinzi ni utumbo tu anawauzia wajinga! Halafu kitabu kutoka elfu 80 hadi elfu 20 ni promotion gani hiyo kama siyo njaa!
Hivyo vitabu kama havina wasomaji vichome moto! Huwezi kulazimisha watu kusoma utumbo wako!
Umeeleza ujinga sana kuhusu ulinzi wa Macron , hakuna Security Agent anayeweza kujua mawazo ya mtu in advance!
Eti Rais azungukwe na walinzi sita mbele na nyuma! Unachambua ulinzi wa kishamba wa Rais Magufuli!
Hapo kwa huyo Mama aliyemzaba Macron ilipaswa kuwepo "MTU" kujua mapema mawazo yao kabla Macron hajaenda hapo ! Seeing your enemy without being seen" by Sun Tzu!
🥴🥴🥴🥴
 
Najaribu kufikiria kwa kina kwa mfano hapa bongo kama jamaa angemchapa kofi Jiwe..... !! namna ambayo ingekuwa.
 
Hakuna
Tukio la kushambuliwa kwa makofi Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron linatupeleka mbele na kulazimika kujifunza mambo machache anuawi katika uwanda wa Ujasusi ulimwenguni. Nimeliangalia katika pande nyingi na sasa ninaweza kulichambua kwa sehemu fulani ili kusherehesha na kufunza walinda viongozi wetu. Kabla sijachambua tukio hili kupitia video hii, naomba nielezee nadharia kadhaa za kiusalama na ulinzi ambazo ndizo msingi wa kufikia hapa katika tukio hili.

Duniani kwanza kuna Usalama na Ulinzi haya mambo mawili yanafanana lakini yanatofautiana katika medani, Usalama ni katika msingi wa "taarifa" na ulinzi ni katika msingi wa "udhibiti" baada ya kupata taarifa. Hivyo katika ujasusi kinachotangulia ni Taarifa ndipo ulinzi uwepo. Na huo ndio msingi mkuu wa Jina la Tanzania Intelligence and Security Services (TISS). Huwezi kuanza na Security kisha intelligence. Itakuwa sawa na kumeza kabla ya kula.

Sasa kwenye eneo la ulinzi wa viongozi kwa mjibu wa taaluma ya Executive Protection, Kama kiongozi anatembea kwa miguu ni kwamba idadi yoyote ya watu wanaomlinda kiongozi husimamiwa na mtu mmoja ambae yeye ndie huwaongoza kwa kila hatua,

Na nadharia hii inakazia kuwa kama kiongozi (Angel's) anatembea kwa miguu walinzi hawa watatakiwa kumweka hatua moja nyuma ya mstari wa mbele, hii inamaana kwamba, kama kiongozi analindwa na watu sita, wawili watakaa nyuma ya kiongozi (Angel's), wawili watakaa pembeni (kulia na kushoto) mwa kiongozi huyo, na wawili watakaa mbele kidogo ya kiongozi huyo kwakufuata mstari wa wale wawili wa pembeni ili kutomziba kabisa kiongozi asione mbele.

Mtu wa saba ambae anaweza kuwa kuwa katika msafara huo wa miguu ama anaweza kuwa katika gari la mitambo ya kuongozea msafara hii inategemeana sana na teknolojis mnayoitumia katika kikosi husika cha ulinzi. Kama mnatumia Walkie Talkie Radio Frequency (WTRF) hii inamaana controller sio lazima awe katika gari bali, lakini huyo ndie atakuwa na protocol yote ya msafari, na katika hili huyu ndie atafahamu kwamba Rais atasalimiana na nani, atasimama wapi na atatembeaje. Ifahamike na kuheshimika kwenye muundo huu wa ulinzi Rais hana mamlaka ya kubadilisha mwelekeo wowote bila idhini ya kiongozi wa ulinzi, bali rais anaweza kuchukua hatua zozote pale atakapogundua kuna hatari juu yake na walinzi wake hawajaiona ama wameiona na kuipuuza kwa maksudi.

Dhana hii pia iko katika majeshi ya vita, kwa nchi za kijamaa (Chinese styles) anayepiganisha vita (mtaalamu wa ramani ya vita) maranyingi walikuwa ni Maluteni Kanali, hawa ndio walikuwa uwanja wa vita. Lakini Tanzania tukiwa katika ujamaa katika vita vya Uganda, Mbinu zilibadilika na vita vikapiganwa kwa muundo wa kibepari ambapo Mabregedia ndio walipiganisha vita katika uwanja wa vita. like Mzee General Lupogo, Mzee General Kiwelo, Mzee General Mkisi nk). Kwamiaka ya karibu alijizoelea sifa sana Luten General Mwakibolwa hasa kwa staili yake (yakipekee) alipoongoza vita vyakuwazima M23 kule Kongo.

Sasa tukirejea katika video hii nimebaini mapungufu kadhaa ambayo nafikiri hadi leo waliohusika watakuwa wameshachukuliwa hatua, nikimaanisha kikosi cha ulinzi wa rais na mkuu wao. Kwanza inaonyesha Rais aliponyoka toka kwenye mikono ya Controller anayeongoza msafara wake na kuamua kukimbia hovyohovyo kufuata walipo raia ili akasalimie.

Kitendo hiki naweza kukitafsiri kuwa rais alikuwa na mtazamo wa kisiasa kuelekea siasa za Uchaguzi zijazo huko kwao na kwamba kutokeza mbele ya watu na kuwasalimia kwa kuwashika mikono kulikuwa na maana kwenye akili ya Macron na siasa za Paris japo matokeo yametoka sivyo kwa jicho letu huku Afrika, lakini kwa siasa za Paris hili laweza kuwa turufu muhimu sana. Hili maranyingi huwa linatokea kama rais ni mbishi hasikilizi walinzi wake. Na hili naliona kwenye video hii kwamba licha ya rais kuokolewa na mlinzi lakini aligoma kwenda kwenye gari badala yake alirudi kwenda kumsuta aliyempiga kofi.

Pili nafikiri ama muongoza ulinzi kwa maksudi ambayo hayamithiriki aliamua kuwanyamazia walinzi wenzake wanaomuongoza Rais na hivyo uelekeo wa rais kwenda kwa raia bila kujiridhisha kwamba anaosalimiana nao ni watu salama waliamini ni sahihi. Lakini dhana hii inakinzana kutokana na kwamba rais ametoka kwenye gari anaonekana ana walinzi wanne waliovaa suti, anachomoka mbio akiongozana na walinzi wawili hadi anafika kusalimia raia na anachapwa kofi ndipo hawa walinzi wengine wawili wanakuja mbio kusaidia kuokoa.

Nadharia kuu zote mbili zinaweza kuwa sio sahihi na badala yake ikahesabika kuwa ni ajali ya kirais, lakini maswali ni mengi huku dhana ya ulinzi ikiwa inakinzana kabisa na namna tukio hili lilivyotokea. Ingawa kwa maoni yangu dhana ya kwanza ina nguvu zaidi.

Jibu lipo kwa Mtikila.

Kwaundani zaidi kuelewa haya na mengineyo Soma kitabu cha Ujasusi

WAHI OFA MAALUMU.

1. Kitabu: Mtu baada ya Mtu, OFA ni 20,000 badala ya 80,000/=

2. Kitabu: Ujasusi, OFA ni 20,000 badala ya 80,000/=

Nunua kwa:

TigoPesa 0715865544
M-Pesa 0755865544
Airtel Money 0788887887
HaloPesa 0624452045
(Yericko Nyerere)

Tuma majina yako na ulipo

(Dar ni free delivery)

Nje ya Dar nauli 8,000/=

View attachment 1813300
Hakuna ujasusi wowote hapo.Mbona Mwinyi alichapwa Kofi?Nao pia ni ujasusi?Nafikiri tuongee ukweli zaid.
 
Hii ni pricing policy mbovu sana ambayo wateja wa kudumu huwa inawapoteza au inawafanya wasubirie bei zishuke. Hizi mambo zifanyike kwa wauza mboga ambao ikifika jioni zinapoteza ubora na zikilala haziuziki, ila sio kwa kitabu ambacho miaka nenda rudi ni kile kile.

Sasa unatokaje kwenye 80,000 mpaka 20,000 within a decade na hakuna deflation? Aliyenunua kwa 80,000 ukitoa kitabu tena let's say kwa 60,000 hanunui anajua utashuka mpaka 15,000. Discount hutolewa kwa ndogo sio kama hivi. Vigumu kuwa best seller kwa namna hii.

Naona unateseka kwa kuwa ulipigwa, kaa kwa kutulia na wengine wapigwe hizo twenti twenti.
 
Huyu Yeriko Nyerere ni kanjanja tu! Hana anachojua kuhusu ulinzi ni utumbo tu anawauzia wajinga! Halafu kitabu kutoka elfu 80 hadi elfu 20 ni promotion gani hiyo kama siyo njaa!
Hivyo vitabu kama havina wasomaji vichome moto! Huwezi kulazimisha watu kusoma utumbo wako!
Umeeleza ujinga sana kuhusu ulinzi wa Macron , hakuna Security Agent anayeweza kujua mawazo ya mtu in advance!
Eti Rais azungukwe na walinzi sita mbele na nyuma! Unachambua ulinzi wa kishamba wa Rais Magufuli!
Hapo kwa huyo Mama aliyemzaba Macron ilipaswa kuwepo "MTU" kujua mapema mawazo yao kabla Macron hajaenda hapo ! Seeing your enemy without being seen" by Sun Tzu!
Yericko anaishi kitapeli from the beginning.

Kwanza kutumia tu Surname "inayouza" na kuachana na jina la baba yake ilikuwa ni stage mojawapo.

Kuna kipindi alisajiri majina ya makampuni 4 BRELA halafu akayaunganisha akatengeneza kampuni moja GROUP bila kuwa na ofisi hata moja. Halafu anajiita Mwenyekiti Mtendaji wa YECCO GROUP 🤣

Yaani Mtu ambaye hajawahi kuwa hata mpelelezi wa mgambo, eti leo anachambua masuala ya ujasusi🤣

Nchi hii haijawahi kuishiwa vituko.

Anyway, bora mkono uende kinywani.
 
Nje ya mada kidogo...

Wewe (YERICO NYERERE) ni nani?

Maana mambo mengi ya kijasusi yakitajwa lazima kugusiwe uchambuzi wako na vitabu vyako. Kitu kidogo tu mtu badala akupe majibu utasikia kasome kitabu cha Yerico au cha fulani ameelezea vyema sana hiyo kitu

Halafu mbona kama umetuleta kisha tulivyokuja ukatupeleka mojakwamoja kwenye vitabu vyako, je ilikuwa ndo lengo?
 
20210329_182452.jpg
Huyu jamaa alikuwa anajifanya kauzu lakin alikuwa muoga balaa! Anashindwa hata na mama yetu.
 
Yericko anaishi kitapeli from the beginning.

Kwanza kutumia tu Surname "inayouza" na kuachana na jina la baba yake ilikuwa ni stage mojawapo.

Kuna kipindi alisajiri majina ya makampuni 4 BRELA halafu akayaunganisha akatengeneza kampuni moja GROUP bila kuwa na ofisi hata moja. Halafu anajiita Mwenyekiti Mtendaji wa YECCO GROUP 🤣

Yaani Mtu ambaye hajawahi kuwa hata mpelelezi wa mgambo, eti leo anachambua masuala ya ujasusi🤣

Nchi hii haijawahi kuishiwa vituko.

Anyway, bora mkono uende kinywani.
Unaumia huku hata bahati tu ya kushika mkono wa Yericko kwa salamu tu hautabahatika leo ama ahera,

Pole ndugu!
 
Nje ya mada kidogo...

Wewe (YERICO NYERERE) ni nani?

Maana mambo mengi ya kijasusi yakitajwa lazima kugusiwe uchambuzi wako na vitabu vyako. Kitu kidogo tu mtu badala akupe majibu utasikia kasome kitabu cha Yerico au cha fulani ameelezea vyema sana hiyo kitu

Halafu mbona kama umetuleta kisha tulivyokuja ukatupeleka mojakwamoja kwenye vitabu vyako, je ilikuwa ndo lengo?
Yericko Nyerere utamfahamu kupitia vitabu, Ujasusi, Mtu, Madaraka na Strategy
 
..kilichonifurahisha mimi ni kwamba aliendelea kusalimiana na wananchi pamoja na kwamba alishambuliwa.

..jingine lililonifurahisha ni kwamba walinzi hawakumshambulia mwananchi aliyefanya vurugu.

..walinzi hawakuwa wepesi kutumia silaha za moto au virungu kukabiliana na mwananchi aliyemshambulia Rais.
umeona kule nyuma walinzi/askari walivyokimbia nae??
 
Tatizo sio kukulia tatizo ni kuja na facts checking, umeandika orodha ya ma-bregedia waliopigana vita ya kagera well and good, ila ajasema nadharia yako ni ipi kwenye shambulizi la raisi

Kama ulitaka kukosoa list ya ma-bregedia umekosoa so whats next...?

Naweza sema umetaka tujue na wewe umekulia uko, au ni roho mbaya tu umeamuwa ku-comment utopolo
Ndio tatizo letu watanzania,
mtu anajua kitu alafu anakaa kimya, akiona mwenzake amesema ndio anaanza kumkosoa na kumponda, na wala hasemi inavyotakiwa kuwa..
majitu yanaudhi sana.
 
Back
Top Bottom