Kijarida cha Economist ni "mdomo" wa mafisadi na wezi wa rasilimali za Tanzania

Member mpya anafananusha the Economist na gazeti la Uhuru
Tukwambie tuu gazeti hili linasomwa na ku-influence watu wenye fedha zao duniani wakiwemo wawekezaji makubwa


Hawa jamaa wana mpaka kitu kinaitwa Economist Intelligency Uniy (EIU) ambayo ni source nzuri sana ya taarifa nyeti za dunia hii.
 
Unapopinga kitu unatakiwa na evidence otherwise ni majungu tu mnayokaririshwa na viongoz wenu
Ina maana hujaona evidences alizoandika ndani ya iyo thread, za kwanini anakipinga hicho kijarida?
Gosh, ukute hujasoma hata contents ila unapinga tu, huku kupinga pinga mnafundishwa na akina Lisu.
 
Hawa jamaa wana mpaka kitu kinaitwa Economist Intelligency Uniy (EIU) ambayo ni source nzuri sana ya taarifa nyeti za dunia hii.
Kuna kitu hukijui kuhusu vyombo vya habari vya kimataifa vya nchi za magharibi ikiwemo jarida la the economist wewe ukitaka mfano kuchafua serikali waweza ambiwa tupe hiyo tenda tulipe dollar milion 50 tufanye hiyo kazi ya kuchafua serikali na kukujengea image nzuri.Ukiwahonga wanachapisha serikali ikitaka kukanusha itaambiwa tuhonge dola hata milioni mia tukuandike vizuri.The economist ni jarida la vibaka na mafisadi habari yako haitoki hadi uwahonge.Magufuli songa mbele achana na mafisadi ya jarida la the economist
 
What kijaridaaaaaa? hahahaha wangemsifia ungekiita kijaridaaaaaaa? unachekwa huku
 
Mbona sisi hatuna uhuru wa namna hiyo wa kukosoa waziri mkuu wa Uingereza na serikali yake ambako ndiko gazeti hilo huchapishwa. Sasa iweje wao wawe na uhuru wa namna hiyo wa hadi kumtukana rais wetu na serikali yake? Kwani nao wamekuwa chadema? Haiwezekani na wala si haki.

Kwao ni haki ndugu yangu kwa vile wanatoa kodi zao kwetu..

Wao kama wangekuwa hawana msaada wowote do u think wangekuwa na time na ishu zetu?

But wanajua kuwa wao ndio wanachangia pato letu kwa kuja kuangalia wanyama, kutoa pesa kwenye bajet kutoa mikopo na mambo kibao
 
uzuri.tunajionea wenyewe mtaani.
UCHUMI UMEPANDA.
ni kweli economist ni waongo.
KAMA TUNAWEZA KUNUNUA CEMENT KWA 13,500.
Kutoka 10,000 wakati dangote alipokuwa anazalisha cement..
NI KWELI UCHUMI UMEPANDA
 
Ni mafisadi wavivu wa fikra wanaohisi kijaridi hiki kitawaokoa
Hicho kijarida cha the economist ni cha mafisadi na hutumiwa na economic hitmen mafisadi wa kisiasa na kiuchumi ku hit economies za nchi wanazotaka ku hit kwa kuzipa negative publicity at a fee payable by local and international fisadis
 
Sasa mbona kijarida kinawatoa mapangoni ukoo mzima? Kama hakina athari kwenu si mngekidharau tu kama sisi tunavyovidharau vijarida vya Mzalendo, Uhuru na Tanzanite la Bashite.
 
The ECONOMIST ni kijarida toka lini?

The Economist is an English-language weekly magazine-format newspaper owned by the Economist Group and edited at offices in London. Continuous publication began under its founder, James Wilson, in September 1843. In 2015 its average weekly circulation was a little over 1.5 million, about half of which were sold in the United States.
UK kwanini wanawabeba sana wala rushwa wa Afrika? Kwanini wakati wa radar na hela zilizofichwa huko walikaa kimya? Madini yetu hata kama wananufaika nayo, watupe tunachostahili.
Motive yao nini haswa? Afrika ni kubwa na ina mambo mengi ya kusikitisha. Kwanini tatizo liwe la Tanzania tu?
 
UK kwanini wanawabeba sana wala rushwa wa Afrika? Kwanini wakati wa radar na hela zilizofichwa huko walikaa kimya? Madini yetu hata kama wananufaika nayo, watupe tunachostahili.
Motive yao nini haswa? Afrika ni kubwa na ina mambo mengi ya kusikitisha. Kwanini tatizo liwe la Tanzania tu?


Tatizo hawajaja kutukaba. Tulipanda ndege wenyewe tukawapelekea hizo deals. Who doesn't want freebies in this world? Angalia sasa hivi Mchina anavyotumaliza. Gesi yote tmempa bure kuokoa mwana wa mfalme wetu asiende jela! Yote under the nose of CCM......
 
Tatizo hawajaja kutukaba. Tulipanda ndege wenyewe tukawapelekea hizo deals. Who doesn't want freebies in this world? Angalia sasa hivi Mchina anavyotumaliza. Gesi yote tmempa bure kuokoa mwana wa mfalme wetu asiende jela! Yote under the nose of CCM......
Do you think we have an option without CCM? Not today..may be long after tomorrow. Everything has been tailor made for one thing...
 
Kwanini utuambie haya baada ya kutoa maoni yao? Mbona hukutoa haya maoni yako kabla ili tujue wewe uko juru.
 
Wezi wa Rasilimali na Mafisadi ndio wanaoiba kimya kimya rasilimali za Watanzania kupitia Mikataba

Hii mikataba ni mirija ya unyonyaji....Watanzania wenzetu walikula 10% kwa ubinafsi na kuchangia Chama.

Mikataba ya Madini ya Dhahabu na Gesi ya Mtwara....Ni wizi unaoendelea

Tatizo kuna vilaza na Viwavi jeshi wanakuja kulaumu wasio husika.....

10% mmelamba....na Kwa ajili ya Kununua Tisheti na kofia za Chama
 
Mimi nafikiri cha msingi ni kujibu hoja badala ya kuishia na majibu ya jumla kuwa ni propaganda eti kwakuwa rais anapambana na rushwa na ufisadi mara kwakuwa kazuia mchanga mara ooh Accasi. Matatizo ya rais katika uongozi wake yameainishwa wazi na manatakiwa mjibu moja baada ya jingine sasa ninyi kwakuwa mnaona kuna ukweli wa wazi na mnashindwa kukanusha mnaishia na sababu za uongo. Sasa hata wewe ulichoandika hapa hakitoi jibu wala ufafanuzi wowote wa madai ya jarida hilo unashindwa kwakuwa ni ukweli mtupu. Ukivutwa taulo chuchumaa sio kuanza kutimua mbio mbele za watoto wataona kila kitu!

Wenzake walikula 10% wako kimya
 
Back
Top Bottom