samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
Wapendwa naomba kujua kosa linaloweza mtia hatiani kijana huyu, kijana wangu wa kazi amempa mimba binti wa jirani, ndugu wamempeleka Dawati la jinsia na kumpeleka Polisi, wakidai kosa ni kukataa mimba na Polisi wamemweka maabusu, swali kumpa mimba mtu mzima mwenzako nikosa kisheria?
Na kama ni kosa ni kosa gani? Ikumbukwe hawa ni watu wazima wote, kesi imepelekwa Polisi na wazazi na ustawi kwa baada ya kijana kuikataa mimba wazazi wa mwanamke wanataka kijana alee mimba.
Na kama ni kosa ni kosa gani? Ikumbukwe hawa ni watu wazima wote, kesi imepelekwa Polisi na wazazi na ustawi kwa baada ya kijana kuikataa mimba wazazi wa mwanamke wanataka kijana alee mimba.