haruni haruni
Member
- Jan 12, 2020
- 15
- 8
Kijana wangu ameshindwa kuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano wala chuo hivi second selection bado zipogo kweli waungwana?
alipata 25 combination balance HKL
25 ni ufaulu wa mwisho kabisa unaemruhusu kwenda F5 lakini ushindani utakuwa umemuweka kando. Kama uwezo upo itabidi kumpeleka F5 private au aende chuo. NACTE wameshafungua dirisha. Kusubiri na kutegemea second selection anaweza akakosa nafasi.Halipata 25 combination balance hkl
Halipata 25 combination balance hkl
Wakubwa naombeni msaada wa shule kunitajia shule za advance ambazo ada yake kwa bweni isiwe zaidi ya 1000000Kwenye combi kapataje?
Kama Hana CCC hawezi kwenda f5 shule Za serkali.
Na Za binafsi kweny combi awe walau CDD ili aweze kusajiliwa necta f6.
Othwse atapoteza garama na muda huko private
Mpeleke shule za jeshi mfano Airwings au Jitegemee hautajutia
Kama ana D, C, C-anawezi kwenda advance private hge?Kwenye combi kapataje?
Kama Hana CCC hawezi kwenda f5 shule Za serkali.
Na Za binafsi kweny combi awe walau CDD ili aweze kusajiliwa necta f6.
Othwse atapoteza garama na muda huko private
Kwa hyoo huu mwaka hamna kbsa second au ebu nakuomba uniweke wazi kbsaNingekuwa ndio mm, ningempeleka vyuo vya ufundi, akapate ujuzi.. hayo mambo sijui ya advance, ni wastage of time.
Finally, we needs money , na maisha yenye furaha
Kwa hyoo huu mwaka hamna kbsa second au ebu nakuomba uniweke wazi kbsa
Usije ukamshauri asome hkl, atleast akasome HGL.alipata 25 combination balance HKL